Mapinduzi Cup: Singida BS Vs Yanga Sc

Mapinduzi Cup: Singida BS Vs Yanga Sc

Kilicho nifurahisha zaidi ni kuona Yanga imewaacha wachezaji wake muhimu kwa ajili ya mashindano muhimu ili wasipate injury na kuwapa nafasi wachezaji wale ambao sio tegemezi

Lakini Kisinda eti hakuwepo

Maanake huyu ni mchezaji tegemezi kwenye mechi muhimu

Aah hii nchi ina vituko sana
Mkuu umeanza vizuri ila umeharibu mwishoni
 
Haya sasa muda wa kugomea tena bidhaa za bakhressa umewadia mtapiga kasia au mtapanda botinzake ndugu zangu utopolo?
Walikujaje?

Au walizamia?
 
Ukifananisha na zenu unaonaje?
Sisi tangu mwanzo hatukuonesha nia ya kushiriki haya mashindano

Hata hivyo wale madogo ulikuwa ni ubishi wao tu kushinda mechi ya mwisho maana maelekezo tuliyowapa hayakuwa yale

Sisi tulikuwa na safari yetu huko Burj Khalifa ila tukakosa excuse ya kuondoka maana tungeonekana majeuri

Ndo tukaamua pale mbele akae Kibu na Kyombo tukijua dhahiri watachoenda kufanya
 
Mechi nyingine ya kuamua nani abaki nani asalie

Singida amepewa nafasi kubwa sana kushinda mechi hii kutokana na kikosi chake kuwa kamili tofauti na Yanga ambao wao wamejaza wachezaji wengi kutoka kikosi cha vijana.

Personal view

Singida licha ya kwamba ana kikosi kikubwa au kile cha kwanza anachokitumia katika ligi kuu lakini binafsi simuamini sana.

============

Club ya Yanga yaaga rasmi mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya mechi kumalizika kwa sare ya 1-1

Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga

Singida atakutana na Azam (washindi mara 5 wa kombe hili) kwenye hatua inayofuata

Naam ulikuwa nami Scars kutoka mwanzo mpaka hapa mwisho nikishirikiana na wadau wengi wa jukwaa hili, niwashukuru sana kwa mchango wenu

Bye bye
Ulifanya vizuri kuwasaidia
 
Mechi nyingine ya kuamua nani abaki nani asalie

Singida amepewa nafasi kubwa sana kushinda mechi hii kutokana na kikosi chake kuwa kamili tofauti na Yanga ambao wao wamejaza wachezaji wengi kutoka kikosi cha vijana.

Personal view

Singida licha ya kwamba ana kikosi kikubwa au kile cha kwanza anachokitumia katika ligi kuu lakini binafsi simuamini sana.

============

Club ya Yanga yaaga rasmi mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya mechi kumalizika kwa sare ya 1-1

Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga

Singida atakutana na Azam (washindi mara 5 wa kombe hili) kwenye hatua inayofuata

Naam ulikuwa nami Scars kutoka mwanzo mpaka hapa mwisho nikishirikiana na wadau wengi wa jukwaa hili, niwashukuru sana kwa mchango wenu

Bye bye
Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga[emoji23]
 
Back
Top Bottom