Mapinduzi Cup: Waandishi wa habari za michezo mnatia aibu,pamoja na wale wa Azam media

Acheni Ulimbukeni nyie pimbi. Kwani mmeambiwa Azam anarusha Matangazo kwa Kiingereza???
Nendeni CNN ya Marekani mtutajie Watangazaji wanaojua Kiswahili basi maaana naona mishipa ya Shingo imewatoka sana.
Unapishana na uelekeo wa dunia mkuu
 
Kwa nini tusiwe kama Uingereza?
Kocha au mchezaji ukisajiliwa Tanzania lazima ujifunze kiswahili.
England hakuna kocha au mchezaji anayehojiwa kwa lugha yake, lugha ni moja tu, English.
Antonio Valencia wa Manchester United amekaa miaka 10 na mpaka anaondoka hakuwahi kujua kiingereza
 
Acheni Ulimbukeni nyie pimbi. Kwani mmeambiwa Azam anarusha Matangazo kwa Kiingereza???
Nendeni CNN ya Marekani mtutajie Watangazaji wanaojua Kiswahili basi maaana naona mishipa ya Shingo imewatoka sana.
Upimbi siachi, Azam wanarusha matangazo ya mpira kwa lugha ya kiswahili na kiingereza baadhi ya mechi kama ulikua haujui.

Mechi ikimalizika kwa upande wa kiswahili sasa wanaenda kuwahoji makocha, unakuta anataka aulize jambo flani anakwama kuuliza anaishia kujikanyaga kanyaga tu hadi makocha wanawacheka mfano ni Lwandamina & "Uchebe"
 
Kilikuja na melikebu hicho cha malkia.
 
Ni mjanja anaongea english ili asiulizwe maswali tatanishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…