Mapinduzi kutoka Roman Catholic (RC) hadi Tanzanian Catholic (TC) kutokana na tamko la papa

Yule Askofu wa Chadema naye anataka kumbariki Ole Sabaya, mwenyewe anaitaga mibaraka.
 
Kwa hio unataka kusema Dola nyingine ya Rumi inaenda kuanguka kwa mara nyingine Ila hivi unawajua vizuri warumi wewe?

Warumi waliangalia wakaona hapa kalayanje twamabwino ni kujificha kwenye ukatoriki tu kwa taarifa yako Papa ni Mrumi pure
 
Vatican katika historia imekua mara nyingi chini ya mikono ya watu waovu 'freemason' au 'mafioso'. Uchina kanisa katoliki liliamua kua huru ya utawala wa vatican kwa miaka mingi hadi leo. Makanisa ya kikatoloki afrika ingefaa kuachana na vatican kwa sasa kwani ubeberu na ubepari ni chanda na pete na vatican. Hivi leo nchi za magharibi wanafanya kila hila kueneza ushoga na ndoa za jinsia moja duniani. Wana lao katika hili na vatican huenda ni mshirika wao.
 
Si mnasemaga papa anachaguliwa na Mungu. Ule moshi ukifuka utakayempata basi Mungu kamchagua.
ndugu yangu katika masuala la imani usije kumwamini mwanadamu mwenzako, mwanadamu atabakia mwanadamu tu whatever the case.
 
Kumbe hili jambo la kuwa nje ya vatikani inawezekana!
 
Upo sahihi roman catholic ni tasisi yenye nguvu dunian na inauwezo wa kutengeneza matukio makubwa duniani ina control dunia kwa manufaa yao binafsi, waafrika tuendelee kuamka tuendelee kutumia akiri kuliko hisia, vitu vingi tulivo ambiwa/kufundishwa si vya kweli
 
Waafrika siku tukijitenga na uongo wa wazungu tutaanza kuona mambo katika uhalisia wake.
 

 
Zanzibar na Pwani palipo na misikiti na waumini wengi wa kiislamu mbona ndiko kunaongoza kuwa na mashoga wengi?
Ulishawahi kumsikia kiongozi yeyote wa waislam akijadili kuhusu hao mashoga kwenda msikitini kubarikiwa hata kama ni wengi?
 
Una uhakika unachokinena?
Kwa taarifa yako, hakuna dini yoyoye ile iliyopo hapa duniani kwa sasa ambayo ndani yake hakuna mashoga, hakuna kabisa.
Mashoga wapo ktk dini zote unazozijua wewe, hata kwa Wapagani mashoga pia wapo. Labda uwe mtu mnafiki, ndio unaweza kupingana na ukweli huu mchungu. Huyu Papa kwa sasa anaweza asieleweke vizuri sana na watu, lakini baada ya kupita muda fulani huko mbele, watu polepole wataanza kumuelewa. Nafikiri tatizo lililopo miongoni mwa watu wengi ni Unafiki.
 
Ikiwa mnasali na majini,

Yaani umekaa ukiswali, pembeni yupo jini mahaba, sangapi upinge USHOGA?

Wake zenu mnawaingilia kinyume, huo hujui ni USHOGA?

Solution ni KUOKOKA, ndiyo pekee njia sahihi.
 
Yule askari aliyekutana na hatia ya ushoga kule Zanzibar ni wa Dini gani vile?
 

Huo ndo msingi wa kutolic, huwezi ubadili, toka wewe, hiyo siyo dini ya Baba yako.
 
Naunga
Naunga mkono hoja.
 
Urijali ni virtue ktk uislamu wakati Ukiristu wa leo unachangamana na ushoga, ndiyo maana kanisa la anglican linafungisha ndoa za mashoga, na wakatoliki wanabariki Mashoga!
 
Zanzibar na Pwani palipo na misikiti na waumini wengi wa kiislamu mbona ndiko kunaongoza kuwa na mashoga wengi?
Hapana mkuu Pwani,Dar na ZnZ ni himaya za Vatican. Waislamu wapo Njombee
😝😝😝😝😝
 
β€’ Hakuna dini ya maana, dini zote nimkanganyiko tu.

β€’ Hizi dini zimeletwa kwa ajili ya kurudisha nyuma maendeleo yetu.

β€’ Dini ni kichaka cha wahuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…