Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Pasco,

Kumbe hivi ndivyo unavyofanya research au ndio umepanga na kina Salim Kikeke muyatkufushe hayo Mauwaji thru BBC na.wewe ndie field corespondent mpaka 13/1/2013. Teh teh. Poor Pasco


Kumbe kakimbilia kwa salim kikeke tena ambae ni mtu wa kuhoji tuh na kumuacha msimuliz mwenyewe Mohamed Said??

Kwelii Pasco amevurugwa sana,,

Pasco njoo uchukue bahasha ndug yangu,teh teh teh...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco

Mbona unapingana na hoja yako ya mwanzo kumbe Okello hakufanya Mapinduzi Zanzibar kumbe na yeye alitangulizwa mbele tu, vinara wa Mapinduzi ni kina nani? Tufahamishe Pasco.

mkuu huko umeenda mbali sana, na pengine utapelekea swali lako kuwa gumu. We huliza baba wa Taifa wa la ZANzi ni nani???
(a)John Okelo
(b)Abeid Karume
(c)Sultani bin Said
 
Last edited by a moderator:
zanzinews.com said:
MNARA+PICHA.jpg


Huu ndio Mnara unaotarajiwa kujengwa katika Viwanja vya Michenzani kwa ajili ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi unatarajiwa kuanza ujenzi wake kuanzia sasa na kuwa Kivutio cha Watalii wanaokuja kutembelea Zanzibar kama ilivyo sehemu nyengine za Dunia kuwekwa sehemu ya kumbukumbu ya matukio muhimu.

Serekali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ inakusudia kujenga mnara maalum utakaotoa kielelezo cha kumbukumbu ya miaka 50 tangu yafanyike Mapinduzi Matukufu ya mwaka 1964.

Januari 12 mwakani Zanzibar itaadhimisha kutimia miaka 50 tangu kufanyika kwa mapinduzi ya mwaka 1964 ambayo yaliuondosha utawala wa Sultani.​



Lakini kwa nini Pasco anashambuliwa humu; je huu mnara unajengwa au haujengwi? Field Marshall John Okelo kweli alifanya kazi kubwa inayotambulika ardhini na majini...siku njema.

Kwa habari zaidi bonyeza hapa; Kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya 1964.
 
Hapa sasa naona Pasco unatuchanganya bandiko lako la mwanzo na hili ni tofauti,
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale watumwa wengi waliochukuliwa uarabuni waliishia wepi.ningefurahi kuona ndugu wetu hao kama ilivyo kwa waliotoka afrika magharibi wanavyoonekana marekani

Khaa sio mdio hao kina Augustino ramadhani. Seif bakari balozi iddi seif sepetu nk
 
Watu wanaofikiri kwa kutumia MAKATO utawajua tu. Mtu katoa hoja bila kuutaja uislamu wewe unaanza kujihami. Kwani waarabu kuwa waislamu ndio kwamba hawakutenda ubaya? Waarabu si ndio wanaua waislamu wenzao kule Dafur? Mada inawahusu waarabu na si wazungu. Tumia kichwa kufikiri na sio hicho kiungo cha biashara yenu kule znz na Tanga.

Mkuu kwani biashara ya utumwa ilifanywa na muarabu peke yake?
 
waliopelekwa arabuni watakua wachache sana maana huko ni jangwa wangepelekwa kufanya nini wakati hakuna mashamba?
Khaa!! Tofauti Ulaya na America ambapo Wafrika waliruhusiwa kuzaana wenyewe kwa wenyewe, Arabuni Wanaume walihasiwa (kwa kukatwa kengele) ila wanawake waliachwa na walitumika kama chombo cha starehe. Wengi wao waliuawa baada yakupata mimba wachache waliachwa na ndiyo kizazi cha nusu uarabu kinachoonekana leo huko.
 



Lakini kwa nini Pasco anashambuliwa humu; je huu mnara unajengwa au haujengwi? Field Marshall John Okelo kweli alifanya kazi kubwa inayotambulika ardhini na majini...siku njema.

Kwa habari zaidi bonyeza hapa; Kumbukumbu ya Mapiunduzi Matukufu ya 1964.

Hivi wewe Mag3 akili yako iko salama huyu unayemuita Field Marshall John. Okello alifanya kazi kubwa ipi wacha kupotosha historia na huyo mwenzako Pasco.
 
Khaa!! Tofauti Ulaya na America ambapo Wafrika waliruhusiwa kuzaana wenyewe kwa wenyewe, Arabuni Wanaume walihasiwa (kwa kukatwa kengele) ila wanawake waliachwa na walitumika kama chombo cha starehe. Wengi wao waliuawa baada yakupata mimba wachache waliachwa na ndiyo kizazi cha nusu uarabu kinachoonekana leo huko.
Asante kwa ufafanuzi.huo mnara uwe kumbukumbu ya waafrika waliohasiwa na kuuwawa huko utumwani. Michoro ibadilishwe tuone sura zao matesoni.saifia kuonyesha dizaini nzuri
 
I see, so they left because of Bantu Paranoia. Is there any relation between Arabs and Islam? I bet there is.....

How about vatican/jerusalem and mafia including children kidnapping!
And molestation!

There is definitely relations there.

Maxshimba.
 
Back
Top Bottom