Mapinduzi ya Kijeshi yadaiwa kupangwa kutokea Congo Brazzaville. Serikali yakanusha

Mapinduzi ya Kijeshi yadaiwa kupangwa kutokea Congo Brazzaville. Serikali yakanusha

Duh noma sana. Hapo Rais Denis Nguesso yupo kwenye kikao UN uko NY sasa ataendelea na kikao au anakaa kushoto?
 
Mbona waafrika raia,ni hatari kuliko hawa Punta,kwani wenyewe najaribu kuokoa majahazi yanayozama,ila rais wanayazamisha majahazi,yanayoelea na yenye kuamini na kutarajia matumaini mema 😂
 
Hivi alituma vikosi maalumu au mkanda mzima ulikuwaje?
Walimsubiri ashuke na ndege, wamdake, rubani wa ndege yake akaustukia ule mwito akageuza juu kwa juu.
Ikarudi Dar, akapandishwa Helicopter hadi Kigoma, akapelekwa kwa gari, wanakuja kustuka tayari yumo, wakati wao wametanda Airport.
 
Hivi alituma vikosi maalumu au mkanda mzima ulikuwaje?
Hapana ni mdomo tu si unajua mswahili tena. Jiwe mwenyewe kwa my wife wake alisarenda. Jiwe alijifanya kuzuia makontena yake hadi alipe kodi. Unaambiwa my wife wa msoga akamvalia kanga na kumfuata hadi magogoni na kumshikia mkono kiunoni huku akitingisha kichwa nakumuambua bila sisi usingekuwa rais wewee sasa umeona umefika siyo. Jiwe akanyong'onyea na kulainika utadhan mlenda akamuambia haya mama nisamehe kachukue makontena yako sitawasumbua tena na nitakuzawadia ubunge wa viti maalum.
 
Back
Top Bottom