Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu hawana nia njema, ila Waafrika wenyewe ndio balaa, wanaumizana.WATU WANAFURAHIA UKOLONI MAMBO SASA UNAOUJIA AFRIKA.HAKUNA MZUNGU MWENYE NIA NJEMA NA AFRIKA
Kwa Tz haitatokea, lakini ...JWTZ.....kama kweli ni la wananchi na wala si la "wakoloni weusi".....lapaswa kufanya kitu kunusu wa TZ....
MAISHA NI MAGUMU.
MBWA WACHACHE NDIO WANAOFAIDI.
DRC. Tz baada ya miaka 200 ijayoKituo kinachofuata........???View attachment 2752733
Wawekezaji wakubwa Congo ni wachiba na sio wafaransaWafaransa naona wataondoka nchi zote
Hivi alituma vikosi maalumu au mkanda mzima ulikuwaje?Burundi yalitokea mapinduzi Msoga akayakataa na akamrudisha kwenye kiti hayati Kuruvinza.
Walimsubiri ashuke na ndege, wamdake, rubani wa ndege yake akaustukia ule mwito akageuza juu kwa juu.Hivi alituma vikosi maalumu au mkanda mzima ulikuwaje?
Hapana ni mdomo tu si unajua mswahili tena. Jiwe mwenyewe kwa my wife wake alisarenda. Jiwe alijifanya kuzuia makontena yake hadi alipe kodi. Unaambiwa my wife wa msoga akamvalia kanga na kumfuata hadi magogoni na kumshikia mkono kiunoni huku akitingisha kichwa nakumuambua bila sisi usingekuwa rais wewee sasa umeona umefika siyo. Jiwe akanyong'onyea na kulainika utadhan mlenda akamuambia haya mama nisamehe kachukue makontena yako sitawasumbua tena na nitakuzawadia ubunge wa viti maalum.Hivi alituma vikosi maalumu au mkanda mzima ulikuwaje?
Aisee
Mwenzako akinyolewa...
Naona saivi Warusi hawataki ujinga Afrika