bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwani Kuna mtawala wa kiafrika mwenye Nia njema na AfricaWATU WANAFURAHIA UKOLONI MAMBO SASA UNAOUJIA AFRIKA.HAKUNA MZUNGU MWENYE NIA NJEMA NA AFRIKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kuna mtawala wa kiafrika mwenye Nia njema na AfricaWATU WANAFURAHIA UKOLONI MAMBO SASA UNAOUJIA AFRIKA.HAKUNA MZUNGU MWENYE NIA NJEMA NA AFRIKA
Kuruvinza alikua bongo kwenye mkutano.baada ya kupindua wanamapinduzi walimvutia waya msoga ayabariki mapinduzi Msoga akagoma.Hivi alituma vikosi maalumu au mkanda mzima ulikuwaje?
Wale wezi wa Mali za congo mtu mrefu na babu habari mbaya sana kwao hiziWarusi wameamua, i can see, the long serving african presidents wajitazame upya
BREAKING: Military coup in Congo at this moment.![]()
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGe
Hapa kwetu mbona wanachelewa?[emoji1077]BREAKING: Military coup in Congo at this moment.
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGeopoliticsView attachment 2752729
Hapo ndipo wamebugi.Duh noma sana. Hapo Rais Denis Nguesso yupo kwenye kikao UN uko NY sasa ataendelea na kikao au anakaa kushoto?
[emoji1077]BREAKING: Military coup in Congo at this moment.
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGeopoliticsView attachment 2752729Fukuzia mbali wahuni hao.
Kweli hilo ni kosa kiufundiHapo ndipo wamebugi.
Hawana mtaji hao wanawezapigwa tokea nje.mtaji ni kumfungia nyoka shimoni
Demokrasia ipi? Africa hakuma demokrasia watu hawawezi kuwa na imani na kitu ambacho hakipo.
Kwanza ni kuonesha hao walioko madarakani wasione wengine kama nyani😆😆swali ni je,mapinduzi yana nia njema kwa wananchi au ndio yale yale kimtu kinakomaa hapo juu miaka 25 ijayo[emoji16][emoji16][emoji16]
Aaiseeee Mwarabu alikua na Makoloni East Africa?Daah naona huko West wameamua kumuondoa Mfaransa kwa Nguvu wakati huko East wanatumia nguvu kumrudisha Mwarabu...
Alilainika vipi wakati alimdaka na kumuweka korokoroni mule jumba jeupe hadi Pengo akaingilia kuwa aachiwe na baadaye kufukuza wingu jeusi akaambiwe ampatie uteuzi wa nafasi ya ubunge!Hapana bi mdomo tu si unajua mswahili reba. Jiwe mwenyewe kwa my wife wake alisarenda. Jiwe alijifanya kuzuia makontena yake hadi alipe kodi. Unaambiwa my wife wa msoga akamvalia kanga na kumfuata hadi magogoni na kumshikia mkono kiunoni huku akitingisha kichwa nakumuambua bila sisi usingekuwa rais wewee sasa umeona umefika siyo. Jiwe akanyong'onyea na kulainika utadhan mlenda akamuambia haya mama nisamehe kachukue makontena yako sitawasumbua tena na nitakuzawadia ubunge wakuteuliwa