Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Hakuna udini bongo una mawazo ya kipuuziEndeleea kuzamisha kichwa mchangani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna udini bongo una mawazo ya kipuuziEndeleea kuzamisha kichwa mchangani.
Africa ni nchi mbili tu ndizo zinaweza angushwa na udini. Nigeria na Tanzania.Hakuna udini bongo una mawazo ya kipuuzi
Hakuna udini bongo dogo acha kuwa na mawazo ya kipuuzi.Africa ni nchi mbili tu ndizo zinaweza angushwa na udini. Nigeria na Tanzania.
Kusemq haupo hakuufanyi usiwepo. CCM kuudhibiti haimaanishi haupo. Amka.Hakuna udini bongo dogo acha kuwa na mawazo ya kipuuzi
CCM wamedhibiti udini gani sasa we dogo unajitambua kweli au unaropoka ?Kusemq haupo hakuufanyi usiwepo. CCM kuudhibiti haimaanishi haupo. Amka.
Sasa kama umedhibitiwa utauonaje?CCM wamedhibiti udini gani sasa we dogo unajitambua kweli au unaropoka ?
Nikikwambia unioneshe huo udini uliopo bongo utaweza kuonesha kweli au utaleta porojo zako? Ulivyo mpumbavu unafananisha bongo na Naija kwa udini hivi unaijua hali ya Naija kiudini kweli ndio unataka fananisha na bongo ?!.
Umedhibitiwa ki vipi ? Hauwezi kudhibiti kitu kisicho kuwepo ni lini huo uchafu unaouzungumza ulikuwepo hapa bongo ?Sasa kama umedhibitiwa utauonaje?
Umedhibitiwa kiasi kwamba kama hauna akili za kutosha huwezi kuuona.Umedhibitiwa ki vipi ? Hauwezi kudhibiti kitu kisicho kuwepo ni lini huo uchafu unaouzungumza ulikuwepo hapa bongo ?
Dogo unataka geuza fikra zako za kipumbavu kuwa kweli, kama udini unao wewe baki nao mwenyewe kwenye kichwa chako.
Wanatuona nyani🤣Kwanza ni kuonesha hao walioko madarakani wasione wengine kama nyani😆😆
Kama ni kweli, safi Sana, bado Uganda, Rwanda, Zimbabwe, TZ.BREAKING: Military coup in Congo at this moment.
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGeopoliticsView attachment 2752729
UPDATES
Serikali imekanusha teteai zozote kuhusu majaribio ya mapinduzi nchini humo
Serikali ya Congo Brazzaville Government inayoongozwa na Rais Denis Sassou Nguesso kwenye andiko la X imekana kuhusu Mapinduzi yoyote dhidi ya Serikali hiyo
Vyombo kadhaa vya habari siku ya Jumapili vimeripoti kuhusu Mapinduzi jaribio la Mapinduzi kuendelea ndani ya nchi hiyo wakati Rais akiwa Ziarani nje ya nchi
Posti ya Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Thierry Moungalla, imekanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wa Mtandao wa X.
Rais wa nchi hiyo ni Afisa wa zamani wa Jeshi, ambaye amekuwa kwenye madaraka tangu 1997
JWTZ.....kama kweli ni la wananchi na wala si la "wakoloni weusi".....lapaswa kufanya kitu kunusu wa TZ....
MAISHA NI MAGUMU.
MBWA WACHACHE NDIO WANAOFAIDI.
Tz hii kitu haipaswi kutokea. Nchi imegawanyika sana kidini. Mapinduzi yoyote yatafanya nchi iwake moto.
Zimbabwe tayari. tanzania hatutaki vita Mungu Epushe mbali sisi ni kisiwa cha amani.Kama ni kweli, safi Sana, bado Uganda, Rwanda, Zimbabwe, TZ.
Arned forces zenye wajeda wenye akili kubwa, sio hawa wa kwetu,mission kubwa wanayopanga "ni kusaka nguo zinazofanana na mavazi ya jeshi" Na kupiga watu mitama!
Jeshi linaongoza Urusi na Korea Kaskazini wana maendeleo safi tu.Mijitu haifikirii wanazan jeshi linaeza leta maendeleo hawajui madhara ya machafuko wtz tumelogwa
Jeshi linaongoza Urusi na Korea Kaskazini wana maendeleo safi tu.Mijitu haifikirii wanazan jeshi linaeza leta maendeleo hawajui madhara ya machafuko wtz tumelogwa
Wewe ni mpumbavuUmedhibitiwa kiasi kwamba kama hauna akili za kutosha huwezi kuuona.
Hawa wajomba, CCM iliisha waroga, wanachowaza ni uteuzi wakishastaafu, unakuta mtu ni Major, au, captain, lakini badala ya kubaki kwenye kazi yake mama, anapiga uchawa ili ateuliwe kwenye U RC, so patheticJWTZ.....kama kweli ni la wananchi na wala si la "wakoloni weusi".....lapaswa kufanya kitu kunusu wa TZ....
MAISHA NI MAGUMU.
MBWA WACHACHE NDIO WANAOFAIDI.
Chama kinachounganisha nchi kwa misingi ya dini,ukanda,pande za muungano ni CCM tu,vyama vingine hasa cuf na chadema kimoja kinaungwa mkono na waislam wakiristo hawakiungi mkono,chadema ni Cha wakiristo waislam hawakitaki,usibisheCCM wamedhibiti udini gani sasa we dogo unajitambua kweli au unaropoka ?
Nikikwambia unioneshe huo udini uliopo bongo utaweza kuonesha kweli au utaleta porojo zako? Ulivyo mpumbavu unafananisha bongo na Naija kwa udini hivi unaijua hali ya Naija kiudini kweli ndio unataka fananisha na bongo ?!.