mr kipengele
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 210
- 620
Huu ni mwaka wamapinduzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo wimbi linapaswa lisipoe lifike mpaka Kizimkazi![emoji1077]BREAKING: Military coup in Congo at this moment.
The country's president is in New York, the military is taking control of key facilities in the capital.
Congo borders the Central African Republic, where there is a strong Russian presence.
DDGeopoliticsView attachment 2752729
Kama Zimbabwe waliweza kumtoa Mugabe,mtu waliye muheshimu,inashindikana nini kwa Mwana Kizimkazi!JWTZ.....kama kweli ni la wananchi na wala si la "wakoloni weusi".....lapaswa kufanya kitu kunusu wa TZ....
MAISHA NI MAGUMU.
MBWA WACHACHE NDIO WANAOFAIDI.
KizimkaziKituo kinachofuata........???View attachment 2752733
Toka lini Tz imegawanyika kidini ?Tz hii kitu haipaswi kutokea. Nchi imegawanyika sana kidini. Mapinduzi yoyote yatafanya nchi iwake moto.
Shikamoo west africa, jamaa hawana utani na ujinga wa serikali za kifisadi.Kituo kinachofuata........???View attachment 2752733
Hapo chap wegner washasogea chap kuhakikisha mapinduzi yanafanikiwa.
Huwezi kuliona kirahisi sababu CCM pamoja na uovu wao wanacheza nalo vizuri sana.Toka lini Tz imegawanyika kidini ?
Mimi kipofu sio ila wewe mzima. huo udini upo kwenye kichwa chako peke yako atleast ungeniambia kuna kuto kuelewana baina ya Watanganyika na Wazanzibar ningekuelewa ila sio huo upuuzi wa diniHuwezi kuliona kirahisi sababu CCM pamoja na uovu wao wanacheza nalo vizuri sana.