Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

LEO KATIKA HISTORIA: 1964: Wazanzibari wapigania Uhuru waliipindua Serikali ya Sultan Jamshid bin Abullah na kuanzisha utawala wao huru chini ya Abeid Amani Karume. Miezi mitatu baadaye Zanzibar iliungana na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Field Marshall John Okello, kiongozi wa mapinduzi.
 

Achenikusambaza habari za uwongo.

Karume hakuwahi kufukuzwa Zanzibar. Aliondoka siku mbili au Tatu kabla ya mapinduzi na aliondoshwa na waliokua wakiyaongoza mapinduzi.

Babu hakuwepo Zanzibar karibu wiki tatu kabla ya mapinduzi kwa kua alikua akitafutwa na vyombo vya usalma baada ya kutishia kufanya mapinduzi. Na alikua Bara alikohifadhiwa na Nyerere.
 
Swali ni je, ni nani aliyaongoza hayo mapinduzi kama wote hao unaowataja hawakuwepo? Wewe ndiye unatakiwa kuukubali ukweli ndugu yangu...ukweli utakuweka huru! Hakuna Muunguja angeweza kukohoa mbele ya Sultani Sayyid Jamshid bin Abdullah Al Said!
“Ka igonyo aguragura ame adwale itol culi kede agwec”, ukimfungulia punda, shukrani yake ni mateke!

Field Marshal John Okello: The forgotten revolutionary
By Tom Brian Angurini - September 4th, 2016



Field Marshal John Okello (front, centre), the first Chairman of the Zanzibar Revolutionary Council, with some of his supporters of the Zanzibar Revolution.
It is a Tuesday morning and there is no passenger service vehicle going to Alebtong District, the home of Field Marshal John Okello’s family. The only means of transport to the newly created district is boda boda, which takes me one hour to reach my destination.

It is 11.45am when I finally meet the Zanzibar Revolution hero’s wife, Ms Erin Akao, at her home in Okut village, Aloyi Parish, Alebtong District. She is on her way out to tether goats after tilling her garden.

Akao and her late husband had eight children together; Grace Akello, Agnes Akullo, Moses Onyok, Anna Achola, Harriet Atim, Lucy Akello, Nelson Okwir (RIP) and Daniel Awany.

About Okello

Field Marshal Okello was the leader of the 1964 Zanzibar Revolution that overthrew Sultan Jamshid bin Abdullah who the British had put to lead the country. The Sultan and his mainly Arab government were unpopular among the Black majority.
After overthrowing the Sultan, Okello was looked at as a foreigner by his comrades from the struggle. They led him to relinquish power to Abeid Karume, the first president of Zanzibar. The circumstances at the time forced Okello to leave the country and return home to Uganda.

Ms Akao says her husband came back from Zanzibar in 1973. One day, he decided to go and visit his brother at Amugo, a nearby sub-county where most of his family members had settled.

His intention was to inform his brother of his planned journey to Kampala where he intended to go and buy building material and a car so that he would go back home, build a house and settle with his family at Aloyi Parish. Amugo Sub-county was also the only place that had a bus stop and a train station.

But as he left home, some people followed and arrested him. It was not clear who they were, but such arrests were common at the time during Idi Amin’s reign as president.

Okello was arrested from Amugo at around 4pm. Some women and pupils who were coming back from school met him and his captors. He waved to them and asked them to go to his home and inform his family of his arrest. Since the fateful day on September 9, 1973, his family neither saw nor heard from him ever again.

They never reported the matter to anyone, or even inquired about his whereabouts because then sub-county chiefs, teachers and businessmen were being arrested and killed.

Akao says her husband was of great help, not only to his family, but to neighbours and clan members because at that time he was doing well financially. She says whenever he came back from Kampala, Okello would distribute salt, sugar, soap and money to family members, neighbours and clan members.

Ms Akao says no one from the governments of Tanzania or Ugandan has contacted them since 1973, save for journalists who come to interview her. She now survives on subsistence farming, thanks to the sparse population in Alebtong. She says this has prevented fights with neighbours over land. She at times engages in produce selling to earn some money. She also brews alcohol sometimes to be able to raise school fees for her dependants.

After her four daughters got married after finishing Primary Seven, Akao adds, she got bride price that has helped her survive.

Neighbour reacts

Mr Felix Ocen, a neighbour to the Okello family, says it is shocking that his rare achievement has never been recognised by any government and his name has been erased to some extent from the history of the Zanzibar Revolution.
He says without Field Marshal Okello, Tanzania would not have been since it was a union between Tanganyika and the liberated Zanzibar Island.

“It took Nelson Mandela more than 40 years to bring freedom to South Africa and he is recognised throughout the world. It took President Museveni five years to win the war that brought him to power yet he is recognised as a pan-Africanist. But it took John Okello only nine hours to liberate the section of African people in Zanzibar, and he has been forgotten,” he says.

He quotes a Langi proverb which says “Ka igonyo aguragura ame adwale itol culi kede agwec” (If you free a horse from the bondage of a rope, it might pay you with a kick) and says that was how Okello was paid.
 
Weqe mzee ni wakupuuzwa kabisa.
Go to hell na mauislamu yako
 
Huyu mzee iko siku atajilipua muangalieni sana na mtoe taarifa.
 
Wewe mzee ni kafiri
 
Wewe mzee ni kafiri
Tatizo la huyo Mohamed Said ni moja tu...udini! Huku Bara anataka tuwatambue Wazulu na Wamanyema kuwa ndio wapigania uhuru wa Tanganyika lakini huko Visiwani hataki kata kata kumsikia Field Marshall John Okello, mkombozi wa Wazanzibari akitajwa. Utadhani Tanganyika tulihitaji watu wa kupigania uhuru kwa mtutu kutukomboa. Ukweli ni kwamba tulikuwa tunasubiri tu muda muafaka tuwe na wasomi wenye uwezo wa hoja tupewe uhuru mezani kwa sababuTanganyika haikuwa koloni.
 

Huyu mzee iko siku atajilipua muangalieni sana na mtoe taarifa.

Jibuni hoja achani porojo
 
Kama okello angekuwa na nguvu na ushawishi kuliko karume angekuwa yeye raisi basi. Simple calculation yeye alitumika tuu. Ila mpango mzima ulipangwa na watu wengine
 
Kazeeka vibaya, na watu wengi hivi sasa wanampuuza si vijana au watu wazima.
Anapata uungwaji mkono na watu wa mlengo wake wa Makkah.
.
Natamani kuandika offensive words kali sama dhidi yake
 
Okelo alivunja Miko ya waliomtuma,
Kweli mapinduzi yalikuwa ya Kikristo lakini siri hiyo
okelo alitowa siri ndo maana akatimuliwa. na kusahauliwa
 
Nmejikuta nikijiuliza hivyo...nadhani ni wakati wa kuiondoa nchi hiyo katika laana kwa kumkumbuka BABA WA MAPINDUZI NA ALIYEWAKOMBOA WAZANZIBAR TOKA UTUMWANI.JOHN OKELLO.

Zanzibar toka ilipoamua kutotambua mchango wa Baba yao huyo wa Taifa imekuwa na maisha magumu sana.ni kama wamepata laana kutoka kwa Che Guavera huyo wa Afrika Mashariki.

Ushauri wangu. Serikali itubu na wamrudishie nafasi yake John Okello aliyewaokoa toka Utumwani Wazanzibar hawa tuwaonao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…