Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?

Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?

Wakuu, habari Kuna sehemu nimepitia nikaona kuwa John okelo ndiye rais wa kwanza wa zanzibar, wakati tunajua kuwa ni Karume, mwenye kujua hili atusaidie,wakuu
USIKU wa Jumamosi ya kuamkia Januari 11-12 mwaka 1964, kulitokea mapinduzi yaliyouondoa madarakani utawala wa Kisultani katika visiwa vya Zanzibar.

Mapinduzi ya Zanzibar ni miongoni mwa mlolongo wa mambo yaliyosababisha maasi ya Jeshi la Tanganyika yaliyofanyika juma moja tu baada ya Mapinduzi hayo.

Maasi ya Tanganyika, ambayo yalianzia kwenye Kambi ya Jeshi ya Colito (Sasa Lugalo) usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili ya Januari 19, 1964. Matukio hayo mawili yaliyofuatana.Mapinduzi ya Zanzibar na maasi ya kijeshi ya Tanganyika yalitoa mchango mkubwa kwa Tanganyika kuungana na Zanzibar kiasi cha siku 100 baadaye.

Hata hivyo, historia rasmi ya Tanzania haionyeshi wazi ni watu gani hasa waliohusika katika mapinduzi hayo na ni namna gani yalitokea. Hata ile sehemu ya historia inayozungumzia mapinduzi ya Zanzibar, haimtaji mtu anayeitwa John Gideon Okello, ambaye anatajwa katika kumbukumbu nyingine kama mmoja wa watu muhimu walioshiriki kuuondoa utawala wa kisultani.

Baadhi ya machapisho yanaonyesha kuwa mwaka 1959, ikiwa ni miaka minne kabla ya Mapinduzi ya Zanzibar, jamii ya wafanyakazi kutoka nchi za Uganda, Kenya, Tanganyika, Rwanda, Burundi, Malawi na Msumbiji waliokuwa visiwa vya Unguja na Pemba waliungana na John Okello, mzaliwa na raia wa Uganda ambaye baadaye alitokea kupata sifa kubwa maeneo kadhaa ya dunia kama ‘kiongozi wa Mapinduzi ya Zanzibar’, kwa mujibu wa Encyclopedia of the Developing World, Volume 3.

Lakini sifa yake ilidumu kwa kipindi kifupi tu, kisha ikafifia, ikafutika, halafu ikasahauliwa kabisa.

Taarifa za kihistoria

Ingawa kumbukumbu za kihistoria ya Tanzania hazijadokeza mambo mengi juu ya watu hasa waliohusika katika mapinduzi, uchunguzi, udadisi na uchanganuzi wa marejeo mengine mengi ya ndani na nje ya Tanzania unaonyesha hali tofauti na jinsi historia yenyewe inavyosema.

Baadhi ya wanahistoria wanadai kuwa Okello alikuwa mchonga matofali na wala hakushiriki katika mapinduzi hayo. Lakini inajulikana kuwa alikuwa mmoja wa walioshiriki na sauti yake ndiyo iliyotangaza kwamba mapinduzi hayo yamefanikiwa.

Katika kulitetea hilo, baadhi wanasema baada ya mapinduzi kufanikiwa, Okello aliitwa ili atangaze kuwa mapinduzi yamefanikiwa kutokana na sauti yake ya mamlaka tofauti na Wazanzibari.

Katika picha ya pamoja waliyopiga wanamapinduzi, Okello anaonekana amekaa mkao wa kiongozi mbele ya wengine, akiwa amezungukwa na wanachama wa Baraza la Mapinduzi.

Kati ya wote hao ni yeye peke yake anaonekana tofauti, akiwa amevalia nguo ama za kijeshi au za polisi na kofia yake. Wengine wote wamevalia kiraia. Ni watu watatu tu walikalia viti mbele ya wengine.

Katika picha hiyo, kulia kwa Okello amekaa Ramadhani Haji na kushoto kwake ni Seif Bakari. Nyuma yake wamesimama watu wengine; Khamisi Daruwesh, Said Idd Bavuai, Abdallah Said Natepe, Pili Khamisi na Hafidh Suleiman. Kati ya wote hao walioko katika picha ya pamoja, ni Okello peke yake ambaye kweli kweli anaonekana kuwa mwanajeshi au polisi.

Uhusika wa Okello kwenye mapinduzi

Kuhusika kwa Okello katika mapinduzi ya Zanzibar kunazungumziwa na ripoti tofauti za magazeti. Gazeti la serikali ya Tanganyika la Tanganyika Standard la Januari 13, 1964, liliandika katika ukurasa wake wa mbele kuwa “wapigania uhuru waliokuwa na silaha wametwaa kisiwa cha Zanzibar. Wamekamata majengo yote muhimu ya Serikali kwa muda usiozidi saa 24. Usiku kiongozi wa mapinduzi alitangaza muundo wa Serikali mpya ya ‘Jamhuri ya Zanzibar na Pemba’

Sheikh Karume akiwa Rais na Kassim Hanga kama Waziri Mkuu”.

Watu hawa waliotangazwa kuwa viongozi wapya; Karume, Hanga na wengine, hawakuwa Unguja wakati mtangazaji huyo akitaja vyeo vyao. Walikuwa wamekimbilia Dar es Salaam kujificha.

Gazeti hilo linasema kuwa mtangazaji huyo ni “kiongozi wa mapinduzi” na kwamba ndiye “alitangaza muundo wa Serikali mpya ya Jamhuri ya Zanzibar na Pemba.”

Habari ya gazeti hilo inaongeza kuwa hata Abdulrahman Mohamed Babu mwenyewe hakuamini kama naye alikuwa amejumuishwa katika Serikali mpya.

Walioshuhudia na waliosikia jinsi yalivyofanyika, hawakuamini kama kweli kiongozi wa mapinduzi hayo alikuwa wa kawaida.

Maswali mengi kumhusu Okello kuongoza mapinduzi hayo yalianza kuulizwa. Wengine walidhani kuwa Mganda huyo aliwahi kupata mafunzo ya kijeshi nchini China au Cuba.

Maswali na uvumi wa aina hiyo ulisambaa sana kila kona kiasi cha kulisukuma gazeti Tanganyika Standard kwenda kumuuliza maswali hayo. Baadaye gazeti hilo liliripoti jinsi alivyotamba kuhusika kuandaa mapinduzi hayo.

“Field Marshal John Okello leo amesema yeye ni mtu thabiti wa mapinduzi ya Zanzibar na ni yeye aliyemteua Sheikh Abeid Karume kuwa Rais. Kiongozi huyo wa maasi mwenye umri wa miaka 27, ambaye anadai aliwahi kutafsiri ndoto za kundi la (wapiganaji wa) Mau Mau la Kenya, amesema anachoitakia Zanzibar ni demokrasia na uhuru,” liliandika gazeti hilo.

“Field Marshal amefanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari katika ofisi za kurushia matangazo ya redio ambazo zilikuwa zimechukuliwa kama makao makuu mapya ya serikali.

Rundo la bastola aina ya ‘.22’ lilikuwa mbele ya meza yake. Walinzi waliokuwa na bastola na bunduki mbalimbali walisimama kumzunguka.

“Kiongozi huyu wa waasi aliye mfupi amesema hakuwahi kuwa na mafunzo yoyote yanayohusu uasi nje ya nchi na kukanusha taarifa kuwa aliwahi kwenda Cuba au Perking (China). Alisema alipanga kuiangusha Serikali ya Zanzibar akisaidiana na Kamati Kuu yake ya watu waliopewa siku 14 tu ya mafunzo msituni.”
 
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni Zanzibar, Kwaheri Uhuru Zanzibar" kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar, yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.

Pasco
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni Zanzibar, Kwaheri Uhuru Zanzibar" kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar, yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.

Pasco
Mkuu hata tarehe ya mapinduzi ina utata
 
Naona umezowea ile mikanda ya zamani,ok mimi ninazo original nitafute nikupe,bt almost aloongea zak malang ni kweli tupu..

Na kahusu historia ya znz ipo wazi kabisa.. pamoja na woote hao watajwa ambao wamehusika,lkn planner na command zoote zilikuwa zinatoka kwa Mr X (Nyerere), Dorado bado yupo mfateni akupeni dataz.. na yeye huyu alikuwa ana sapport kutoka baadhi ya mataifa makubwa..
Mapinduzi ya kweli yalifanyika 1963 hayo ya julius yalikuwa ya kumpa ndugu karume uongozi wa nchi tu, nakumbuka kuna filamu iliandaliwa kuhusu mapinduzi ilizua mjadala hadi bungeni wazanzibar wa ccm walitaka izuiwe kwani ilielezea mapinduzi ni 1963
 
Mapinduzi ya kweli yalifanyika 1963 hayo ya julius yalikuwa ya kumpa ndugu karume uongozi wa nchi tu, nakumbuka kuna filamu iliandaliwa kuhusu mapinduzi ilizua mjadala hadi bungeni wazanzibar wa ccm walitaka izuiwe kwani ilielezea mapinduzi ni 1963
Mkuu nguvu , hakuna utata wowote kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika lini, ni Aprili 12, 1964, mjadala sio Mapinduzi, mjadala ulikuwa ni kuhusu Uhuru wa Zanzibar ambao ulipatikana Desemba 10, 1963.
P
 
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.


Pasco
Mkuu JokaKuu kwanza hongera kwa bandiko zuri .
.
Niko Interested kujua ukweli juu ya mapinduzi ya Zanzibar na maisha ya John Okello baada ya mapinduzi.
Karibu mitaa hii Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?
P
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.

Pasco
Rejea za Mwandishi huyu kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  1. Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
  2. Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,
  3. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
 
Huo ndio ukweli John Okello alikuwa kiongozi wa kijeshi kwa muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakwambia John Okelo alikua Fundi Selemala tu huko Unguja hakua hata kuruta lakini kwa sababu kipindi hicho kulipiganwa Vita ya Mau Mau huko Kenya na alionekana km ni mmoja alieshiriki Vita hio na alikua na Sauti yenye Mamlaka na hio ndio iliyomfanya Karume amtimue Zanzibar, wanakwambia unapokua nyumbani kwako alafu unasikia nje mtu anapigapiga kelele lazima uje kumuangalia ni nani anaepiga kelele nyumbani kwako ni mkazi wa hapa hapa au ni mgeni, hio imesimuliwa na Mzee alieshiriki Mapinduzi kipindi hicho
 
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.


Pasco
Rejea za Mwandishi huyu kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  1. Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
  2. Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,
  3. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Back
Top Bottom