Uchaguzi 2020 Mapingamizi halali kisheria dhidi ya mgombea nafasi ya Urais

Asant sana kwa post
 
Hapo namba 15 inaondoka na lisu.
Jiwe asijaribu kutuvuruga kupitia hiyo TUME YAKE YA MFUKONI, aache demokrasia ichukue mkondo wake ili tuchague Mgombea tumtakaye.

Wachumia tumbo kama wewe inabidi mkubaliane na hali halisi, Utawala wa Mkono wa Chuma sasa basi..
 
Jiwe asijaribu kutuvuruga kupitia hiyo TUME YAKE YA MFUKONI, aache demokrasia ichukue mkondo wake ili tuchague Mgombea tumtakaye.

Wachumia tumbo kama wewe inabidi mkubaliane na hali halisi, Utawala wa Mkono wa Chuma sasa basi..
Mkuu jaribu Basi kuheshimu haki yangu ya kutoa maoni Kama ninavyoheshimu yako.
 
Nenda kaisome hiyo sheria acha kusubiri lutafuniwa
 
Wiki ijayo tarehe 26 August, 2020 itakuwa ni siku ya wagombea kuwasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Shukrani mwanaJF hapa wana CCM Mpya watajifanya hawaelewi bandiko lako lililo sheheni facts kuliko zile za kufikirika za wanaLumumba kuombea kitu kisicho kuwapo.
 
Hivi kwanini anahofiwa sana mtu huyu? Najiuliza sipati majibu, unajua team nzima kuwa na hofu iliyopitiliza juu ya mtu fulani si jambo dogo
 
Kwenu Wana Lumumba,

Hakuna kitu kama hicho cha kuenguliwa, Tundu Lissu lazima agombee.

Mlisema hatakuja, kaja toka Belgium.

Mlisema msaliti hana mvuto wa kisiasa, imebainika siyo kweli.

Mlisema siku ya Sikukuu ya Nane Nane Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Dodoma itakuwa imefungwa, Tundu Lissu alikuta ipo wazi.

Mlisema hati yake ya Kiapo haitasainiwa na Jaji wa Mahakama Kuu Dar es Salaam , jana fomu zake za kiapo zimesainiwa.

Mmepanga kumuita Kisutu tarehe 26 August 2020, Tundu Lissu hawezi kutokea kwa udhuru wa jambo muhimu ktk mchakato wa kuelekea uchaguzi 2020.

Mnasema tarehe 26 August 2020 hatatambuliwa kama mgombea rasmi wa Urais kupitia CHADEMA 2020, Tundu Lissu atatambuliwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa na ndiyo itakuwa siku ya kusitisha tuhuma zote za mahakamani mpaka baada ya uchaguzi tarehe 28 Oktoba kumalizika.

Wagombea wanaotambuliwa na Tume ya Uchaguzi 26 Agosti tuhuma za mashtaka yao yatasitishwa kwa kinga maalum ili sisi waTanzania tuweze kushiriki kumpigia kura maana tuhuma ya kesi siyo kigezo cha kumuondolea haki yake kuchaguliwa kwani tuhuma siyo ukweli mpaka pale tu atakapo hukumiwa ndiyo sifa inakosekana
 
Ni kazi ya Bunge kupitia constituent assembly wafanyie marekebisho katiba na kufuta ibara inayotoa hilo sharti.
Mbona tulishamaliza kote huko na Tume ya Katiba ya Jaji Warioba. Matokeo yakazimwa.

Tume ya Jaji Nyalali ilipofanya mjadala na mchakato kuhusu vyama vingi ikieleza hili kwa bayana. Mgombea huru aruhusiwe. Nyerere akasema hivyo hivyo.

CCM ndio hawataki.
 
Can the constitution contradict itself?

Umenikumbusha historia moja.

Siku Albert Einstein alivyokuwa anaapishwa kuwa raia wa Marekani, alimchukua rafiki yake kipanga wa logic Kurt Godel. Aende kuwa shahidi wa kiapo cha Einstein kuwa raia wa Marekani.

Basi wakatoka zao Princeton University mpaka makao makuu ya serikali ya New Jersey hapo Trenton kwa jaji iki E8nstein aapishwe.

Einstein akawa anataka kuapishwa kwa kutumia katiba ya Marekani.

Basi hapo hapo Kurt Godel akaanza kichaa chake kuanza kuchambua logic ya katiba ya Marekani.

Godel akamwambia Einstein, unajua hiyo katiba unayoitumia kuapa haifai na ina ma contradictions haya na haya na haya.

Einstein akamwambia Godel hebu acha uchizi wako. Mimi leo kazi yangu mija tu. Kula kiapo niwe raia wa Marekani. Ukianza kuleta stories za contradictions kwenye katiba mbele ya Jaji naweza kunyimwa uraia buree.

So. This shows. The constitution can be self contradicting.

And when this happens, the contradictions need to be resolved.
 
Can the constitution contradict itself?

Umenikumbusha historia moja.

Siku Albert Einstein alivyokuwa anaapishwa kuwa raia wa Marekani, alimchukua rafiki yake kipanga wa logic Kurt Godel. Aende kuwa shahidi wa kiapo cha Einstein kuwa raia wa Marekani.

Basi wakatoka zao Princeton University mpaka makao makuu ya serikali ya New Jersey hapo Trenton kwa jaji ili Einstein aapishwe.

Einstein akawa anataka kuapishwa kwa kutumia katiba ya Marekani.

Basi hapo hapo Kurt Godel akaanza kichaa chake kuanza kuchambua logic ya katiba ya Marekani.

Godel akamwambia Einstein, unajua hiyo katiba unayoitumia kuapa haifai na ina ma contradictions haya na haya na haya.

Einstein akamwambia Godel hebu acha uchizi wako. Mimi leo kazi yangu moja tu. Kula kiapo niwe raia wa Marekani. Ukianza kuleta stories za contradictions kwenye katiba mbele ya Jaji naweza kunyimwa uraia buree.

So. This shows. The constitution can be self contradicting.

And when this happens, the contradictions need to be resolved.
 

Ni kwa sababu wale wazee ni wanasiasa wanaoamua mambo ya kisheria, hivyo wao ndio the last line of defence ya watawala kimakakama.
 
Can the constitution contradict itself?

Umenikumbusha historia moja.

Siku Albert Einstein alivyokuwa anaapishwa kuwa raia wa Marekani, alimchukua rafiki yake kipanga wa logic Kurt Godel. Aende kuwa shahidi wa kiapo cha Einstein kuwa raia wa Marekani.

Basi wakatoka zao Princeton University mpaka makao makuu ya serikali ya New Jersey hapo Trenton kwa jaji ili Einstein aapishwe.

Einstein akawa anataka kuapishwa kwa kutumia katiba ya Marekani.

Basi hapo hapo Kurt Godel akaanza kichaa chake kuanza kuchambua logic ya katiba ya Marekani.

Godel akamwambia Einstein, unajua hiyo katiba unayoitumia kuapa haifai na ina ma contradictions haya na haya na haya.

Einstein akamwambia Godel hebu acha uchizi wako. Mimi leo kazi yangu moja tu. Kula kiapo niwe raia wa Marekani. Ukianza kuleta stories za contradictions kwenye katiba mbele ya Jaji naweza kunyimwa uraia buree.

The constitution can be self contradicting.

And when this happens, the contradictions need to be resolved.
 
Hii ni issue ya common sense tu.

Hatutakiwi kusema Watanzania wote wa majority age na sane mind wana haki ya kupiga na kupigiwa kura, halafu tulaweka vizingiti zaidi vinavyoondoa haki hiyo, kama sharti la mgombea kuwa na chama.

Sasa kama mtu haoni chama kinachomfaa na hataki habari za vyama, haki yake ya kikatiba ya kugombea uongozi qnyimwe kwa sababu hana/ hataki chama?
 
Sikiliza, kiazi! Kifungu tajwa kinahusiana na “gharama”. Kuna jambo gani linalohusu gharama ambalo litambana Lissu??
Hapo hakijatajwa kifungu Bali Sheria ,

Ifahamu kwanza hiyo Sheria ndio urudi kunikosoa tena.
 
Sisi tunaendeshwa na CCM. Hatufuatilii haki.
 
Kutokukaa miaka 3 mfululizo nchini Tz!
 
Kweli ka
Na hii inasababisha wagombea wenye vipaji vya uongozi ktk jamii husika kukoswa nafasi ya kugombea kwa sbb ya ukilitimba uliomo ndani ya vyama vya siasa vyote.
Rasimu ya katiba ya jaji Warioba inapendekeza kuwe na mgombea binafsi pia.

Kweli kabisa.
 

Great post Matojo Cosatta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…