Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
Na yule mkurugezi was Kibamba ajiangalie sanaYaani CCM nawahurumia sana
Na mwaka huu tume haitakubali kuwabeba upepo ukiwa mbaya yaani mtapata tabu Sana
Lissu atapitishwa tena mapema Sana hakuna mtu ambaye haipendi Tanzania ambaye atakubali ujinga kuchafua nchi.
Sio tume sio watu wa usalama mwaka huu watu wanasimama na umma.