Uchaguzi 2020 Mapingamizi halali kisheria dhidi ya mgombea nafasi ya Urais

Dawa ya msaliti ni tarehe 28/10/2020!
 
Tanzania itaingia kwenye machafuko ambayo hayajawahi toke tangu dunia imeumbwa
Usichukulie machafuko kama kitu kidogo, waulize Lyibia wanatamani enzi za Gaddafi zirude, halafu vijana mnashabikia, hata hiyo mitandao ya kijamii ambayo mnachat nayo mtaisikia kwenye radio.
 

Hivi mbona mnatapatapa sana, nani kasema kuwa kuna mgombea atakatwa?
 

Mnaanzisha mada kisha mnajijibu wenyewe. Hii dhana ya mgombea fulani kukatwa mmeanzisha wenyewe na mnajijibu wenyewe. Siyo tume wala chama hawajawahi kusoma lolote. Hakika kuna tatizo kubwa kiongozi/ katikati yenu.
 
Usichukulie machafuko kama kitu kidogo, waulize Lyibia wanatamani enzi za Gaddafi zirude, halafu vijana mnashabikia, hata hiyo mitandao ya kijamii ambayo mnachat nayo mtaisikia kwenye radio.

Yote inafungwa hata simu pia. Juzi Ethiopia wamemaliza wiki tatu bila internet wala simu kisa kuuawa kwa mwanamziki maarufu.
 
Mnaanzisha mada kisha mnajijibu wenyewe. Hii dhana ya mgombea fulani kukatwa mmeanzisha wenyewe na mnajijibu wenyewe. Siyo tume wala chama hawajawahi kusoma lolote. Hakika kuna tatizo kubwa kiongozi/ katikati yenu.
Aisee!!!
 
namtania tu kuwa list ya mapingamizi hakuna linalomgusa Lisu!

Hakuna pingamizi lolote ambalo kisheria linamgusa Lissu labda lile linalohusu kukosea kujaza fomu ambapo ni vigumu sana Lissu kukosea kujaza fomu za uteuzi.
 
Hakuna pingamizi lolote ambalo kisheria linamgusa Lissu labda lile linalohusu kukosea kujaza fomu ambapo ni vigumu sana Lissu kukosea kujaza fomu za uteuzi.
Nasikia wamemuweka katika chumba akisubiria. Let us wait and see itakuwaje. Lkn niko convinced kuwa watamwekea mapingamizi ya kijinga kumzuia asigombee
 
Wanamchomesha mahindi huko[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119], CHADEMA mjiandae kisaikolojia[emoji2][emoji2].
 
Leo ndo leo, tunasubili mapingamizi kutoka all sides of political divides.
 
Uwe unasoma unaelewa kilichoandikwa-
Pingamizi linwekwa kwa mtu aliyechukua na kuwakilisha fomu zake Tume baada ya KUDHANI amekidhi vigezo vyote na kuteuliwa na Tume;
Mmoja ya walioteuliwa na Tume akiwa na taarifa za kukiuka matakwa ya sheria ambazo ndizo mtoa mada ameyataja- NDO inaitwa pingamizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…