Kenya 2022 Mapingamizi ya uchaguzi wa Rais Kenya: Yanayoendelea Mahakama ya Juu

Kenya 2022 General Election
Wakili Denis Mukarichia: Phillip Murgor anazingatia ukweli, IEBC ilitii na kutoa kila kitu kilichoamriwa na mahakama kuu.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Emmanuel Wetangula: Matokeo yote kwenye visanduku yalilingana na matokeo yaliyotangazwa na IEBC.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Omwanza Ombati: Hakukuwa na mtu wa kati aliyepatikana katika mfumo wakati wa uchunguzi.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Hillary Sigei: Uchunguzi uliofanywa katika vituo vilivyochaguliwa haukutoa matokeo yoyote tofauti na yale yaliyotangazwa.
Your browser is not able to display this video.
 
Iwapo mlihisi kubinywa kwa muda, jilaumuni wenyewe - Bibi Jaji Mwilu anazungumzia suala la muda kwa mawakili.
 
Jaji Lenaola anamuuliza Phillip Murgor kuhusu hati zilizowasilishwa na Azimio ambazo ni tofauti na zile ambazo msajili aliwasilisha.
Your browser is not able to display this video.
 
Dennis Nkarichia: Hakukuwa na ufutaji katika seva.
Your browser is not able to display this video.
 
Dennis Nkarichia anamweleza Jaji Lenaola maombi yaliyotolewa na wakala wa Azimio, Bw George, katika uchunguzi wa seva.
Your browser is not able to display this video.
 
DCJ Mwilu: Omba kwa Mungu chochote unachoomba ili tukurudishie Hukumu si chini ya kile Kenya inachotarajia.
Your browser is not able to display this video.
 
CJ Koome: Mtuombee.
Your browser is not able to display this video.


 
Muda mfupi James Orengo alikatiza uwasilishaji wa Mohat Somane kupinga.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…