Mapishi ya Chapati: Jikoni kwa Evelyn Salt & Mentor

[emoji23] [emoji23] [emoji23] bravo bibi, bora umekuja ww maana kila nikimwambia mimi naona haelewi Mentor Njoo uchukue mawaidha kwa mkongwe

Nnampa darsa anasema eti "wivu".

Hahaha wivu kwa hivyo vifunga tumbo alivyovitengeneza.

Kwetu chapati nene kama hizo za Mentor huwapikia wenye tumbo la kuhara, zinasaidia sana tena sana.
 
Jifunze um-surprise my-husband-wako.



Mhh! Walisema kipimo cha mke bora basi ni mapishi yake ya chapati, sasa kama hujui kupika kabisa...sijuiiii!!!
Khaaah jamani hicho kipimo kiliwekwa na nani??
 
Nnampa darsa anasema eti "wivu".

Hahaha wivu kwa hivyo vifunga tumbo alivyovitengeneza.

Kwetu chapati nene kama hizo za Mentor huwapikia wenye tumbo la kuhara, zinasaidia sana tena sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121] Basi muache bibi ameshakiri ndo mara yake ya kwanza kupika kidogo mwanzo si mbaya ni makosa madogo madogo tu hajayaweka sawa
 
nit
nitajaribu na mimi nione.
 
Mkuu matayarisho mpaka kula si itakuchukua masaa kadhaa chapati zenyewe nne tu c bora nipike za maji
 
Huyo bwana simwamini naweza jitahidi akanisema cjazipika vzr ntaita jirani aonje


Basi nitakuja mwenyewe kuonja...ukipika niite mimi shemeji!


Mimi nimejaa tele hata sijafichwa mpendwa. Amen na kwako pia


Sikubaliani na hili!

Ila nafurahi kuona u mzima wa afya...barakaz kwako!!


[emoji23] [emoji23] [emoji23] bravo bibi, bora umekuja ww maana kila nikimwambia mimi naona haelewi Mentor Njoo uchukue mawaidha kwa mkongwe

Huyo bibi ana wivu tu!

Muulize yeye siku ya kwanza kupika chapati zilikuwaje.

Na sijasema nina maksi 100 ila kwa kila category aliyotaja nina maksi (siyo 0).
 
Chapati zangu za maji ya baridi hizo


Wow! ipyax hizo zimekaa poa..especially ulivobalance kuiva kwake.

Sema sasa wakija hapa FaizaFoxy na johnson godfrey watasema ooh mduara sio 360, mara haina layer mara sijui ni kifunga tumbo...


Khaaah jamani hicho kipimo kiliwekwa na nani??

Wahenga!


nit

nitajaribu na mimi nione.


Way to go brother...utupe mrejesho!


Mkuu matayarisho mpaka kula si itakuchukua masaa kadhaa chapati zenyewe nne tu c bora nipike za maji

Maximum masaa mawili na izo nne ni kwa sababu familia yangu bado ndogo mkuu ila ni around the same time labda kama wapikia sherehe.
 

Yaani hao wahenga wako inabidi watumbuliwe.
 

Kwakweli mdogo wangu umejitahidi, japo ulininyima kuonja.
 
Nimegundua mapishi ya chapati ni mengi. Ila hii niliyoweka ni niliyoifanyia kazi mwenyewe, kwa mikono yangu, inatoa chapati nne na ukitaka ziwe nyembamba basi zitatoka sita.

Ni laini, na inakunjika vyema ingawa si laini kama chapati za kumimina.
Uko vizuri sana hongera kwa jitihada na usafi pia nimekupa credit. Next time jaribu kukandia maji baridi pia ukichekecha unga kabla ni vizuri zaidi. Cheers
 
Nnampa darsa anasema eti "wivu".

Hahaha wivu kwa hivyo vifunga tumbo alivyovitengeneza.

Kwetu chapati nene kama hizo za Mentor huwapikia wenye tumbo la kuhara, zinasaidia sana tena sana.
Hahahahaha lakini amejitahidi jamani pishi lake la kwanza na ni mwanaume.
 
Uko vizuri sana hongera kwa jitihada na usafi pia nimekupa credit. Next time jaribu kukandia maji baridi pia ukichekecha unga kabla ni vizuri zaidi. Cheers


Popote ulipo my dear agiza kinywaji ukipendacho nitumie bill...nitalipa! Thank you for appreciating...

Hahahahaha lakini amejitahidi jamani pishi lake la kwanza na ni mwanaume.
 
Chapati zimenipitia kushoto kwanzia kula mpaka uandaaji.... Nikila naishia nusu tu

Hongera kwa hatua hiyo Mentor
 
Umejitahidi sana mentor...

Naamini next time utafanya vizuri zaidi.

Pia samli ni nzuri kwa kukandia chapati,unaipasha vizuri unakandia na kuviringishia badala ya mafuta ya kawaida. Pia wakati wa kuichoma uwe unaikandamiza kwenye frying pan na kijiko ili hiyo iwe brownish ienee zaidi.

Hongera.
 
Pika basi chapati nije kula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…