Hela haziongeiNinazo, njoo nikugawie.
ni kama kichaka chao cha kijifichiaKuna wengi mapishi ya maana hawajui zaidi ya kuweka nazi tu.
Kumenya nyanya ni ujuha mwingine tu.Umezaliwa mkoa wa mara nini? Wale jamaa hawana mbwembwe kwenye mapishi hata samaki huwa hawaoshi vizuri wanachemsha na nyanya nzima na maganda yake ukimaliza kula unanuka shombo ya samaki hata wiki 3
Mi naona kula msosi uliojaa maganda ya nyanya yaliyojisokota ndo ujuhaKumenya nyanya ni ujuha mwingine tu.