Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Mimi mpenzi wa chuku chuku a.k.a boillo!Unaonekana una kanyalo na wanaume kama wewe inataka uvumilivu kuishi nanyi mna vimasharti vingi vingi mpaka mnaboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mpenzi wa chuku chuku a.k.a boillo!Unaonekana una kanyalo na wanaume kama wewe inataka uvumilivu kuishi nanyi mna vimasharti vingi vingi mpaka mnaboa
Ngumu sanaUtaharisha mpaka utumbo
oya 🤣🤣🤣🤣Huyo hana masharti mbona, mimi Mwanamke akipika chakula huku amevaa nguo atakula peke yake nakuambia
huna mambo mengi 😂 hatma umemkabidhi mpishiKwa mimi ambae nachojua kupika ni ugali na makande tu hua nakula kilichoiva kikubwa namwamini mpishi
Vyutia!!?Samaki, dagaa na maharage vikiwekwa nazi huwa vyakula vizuri vinavyovyutia kula na ladha ya kueleweka. Nazi kwenye vyakula vingine vingi huwa naona overrated sana.
Sijui ni nini hasa huwa kinawafanya watu watokwe na udenda au kusifia sana wali nazi, nyama nazi, bamia nazi, kisamvu nazi, tambi nazi, pilau nazi, n.k
Sasa niwe fundi wa jiko na mchumba atakua fundi wa nnhuna mambo mengi 😂 hatma umemkabidhi mpishi
huyu mwenzetu pishi la nazi anapenda sana ila mkewe inaonekana hayuko vizuri sekta ya mapishi ya nazi analipua tu alimradi ndohivi jamaa yetu amedata basi ndo amekuja kututolea kisirani sisi humu kisa mkewe anamtolea boko anataka kujifariji tuHata wali nazi huujui? Wali ndizi ulioungwa nazi? We kweli bado mtoto mdogo walahi
Chief GodloveTafuta hela
Ahahah...hujakosea mkuu. Hata utumbo wa ng'pmbea au mbuzi/kondoo hausafishwi vizuri. Eti ukisafishwa kadha inapotea.Umezaliwa mkoa wa mara nini? Wale jamaa hawana mbwembwe kwenye mapishi hata samaki huwa hawaoshi vizuri wanachemsha na nyanya nzima na maganda yake ukimaliza kula unanuka shombo ya samaki hata wiki 3
Umeifunga mada mkuu.Mapishi ya nazi ni utamaduni wa watu wa pwani
Nyinyi watu wa bara endeleni na utamaduni wenu
Duh mnafaidi wenye nyumba zenu zenye nafasi na uzioHebu vua nguo zote mpikie Mumeo chakula kisha mpelekee sebuleni huku unamwangalia usoni na kumchekea uone kama hajaacha kula popote anapokulaga....hebu jiongeze Mwanamke
Usichokijua huitwa ujinga.Nadhani imekaa kiurithi wa kitamaduni zaidi..
1. Mimi mawese mekundu nasikia harufu muda wote! Kigoma na makabila ya huko kwao ni murua
2. Mimi chakula kilichopikiwa tui ya karanga siwezi gusa kabisa!
3. Olive oil sijawahi ielewa!
4. Cheese and butter ni uchafu
5. Kuunga maziwa kwenye chakula chochote ni wendawazimu!
6. Nazi naikubali kwenye mboga za majani na ubwabwa tu!
Nimeielewa hiiHebu vua nguo zote mpikie Mumeo chakula kisha mpelekee sebuleni huku unamwangalia usoni na kumchekea uone kama hajaacha kula popote anapokulaga....hebu jiongeze Mwanamke
Pilau nazi nilipikiwa na mzaramo dada ni tamu.Na nilivunja sharti la kutokula chakula kingi hiyo siku.Hadi pilau nazi??? Sijawahi kula hilo.....
Wasukuma hatukubali, week ijayo napika pilau la karanga
Mwanamke wa mithali 31
Sijawahi kwakweli sijui likoje, nitalitafuta.Pilau nazi nilipikiwa na mzaramo dada ni tamu.Na nilivunja sharti la kutokula chakula kingi hiyo siku.