Mapishi ya nazi ni overrated sana kwa vyakula vingi

Mapishi ya nazi ni overrated sana kwa vyakula vingi

Ukiona maganda ujue amekosea kuunga mboga.
Mafuta yakipashwa joto vizuri na kuwa ya moto huoni maganda, maganda huungua kwenye mafuta na kutoa rangi nyekundu ambayo ndio mchuzi
Lazima tu kuna mabaki ya maganda yatabaki na huwa yanajisokota mi nikiona maganda ya nyanya yalivyojisokota kwenye chakula huwa yananikera kichizi naanza kuchambua moja moja kuweka pembeni
 
Ndio hivyo, yaani Mke umuoe kabisa kwa mahari halafu eti anavaa sijui kanga sijui kitenge wakati wa kupika...Dharau gani hii
Hivi uko serious? Au unataka nimalizie weekend yangu kwa kucheka kwahiyo unataka apike akiwa uchi wa mnyama, na ili iweje?
 
Lazima tu kuna mabaki ya maganda yatabaki na huwa yanajisokota mi nikiona maganda ya nyanya yalivyojisokota kwenye chakula huwa yananikera sana naanza kuchambua moja moja kuweka pembeni
Tumia blender au grater.
 
Lazima tu kuna mabaki ya maganda yatabaki na huwa yanajisokota mi nikiona maganda ya nyanya yalivyojisokota kwenye chakula huwa yananikera sana naanza kuchambua moja moja kuweka pembeni
Maganda yanasaidia kwenye figo na ini nasikia basi tu ni vile hayanogeshi msosi, ila tu kanda ya ziwa kwenye mapishi ni jiroo
 
Hivi uko serious? Au unataka nimalizie weekend yangu kwa kucheka kwahiyo unataka apike akiwa uchi wa mnyama, na ili iweje?
Hebu vua nguo zote mpikie Mumeo chakula kisha mpelekee sebuleni huku unamwangalia usoni na kumchekea uone kama hajaacha kula popote anapokulaga....hebu jiongeze Mwanamke
 
Hebu vua nguo zote mpikie Mumeo chakula kisha mpelekee sebuleni huku unamwangalia usoni na kumchekea uone kama hajaacha kula popote anapokulaga....hebu jiongeze Mwanamke
Nitakafanya hako kamchezo ila isijekuwa huku napika huku nakuliwa mwishowe tule vitunguu vilivyoungua au tuungue kabisa
 
Maganda yanasaidia kwenye figo na ini nasikia basi tu ni vile hayanogeshi msosi, ila tu kanda ya ziwa kwenye mapishi ni jiroo
Figo ntakula hata zabibu, pilipili kichaa, Broccoli na ma Apple ila siyo kula maganda ya nyanya yaliyopikwa kwenge mboga yakajisokota, kitendo kinacho nikera ni ile hali yake ya kujisokota, Au bora ikatwe kachumbari hapo ntakula maganda ya nyanya
 
Figo ntakula hata zabibu, pilipili kichaa, Broccoli na ma Apple ila siyo kula maganda ya nyanya yaliyopikwa kwenge mboga yakajisokota, kitendo kinacho nikera ni ile hali yake ya kujisokota, Au bora ikatwe kachumbari hapo ntakula maganda ya nyanya
Upo sahihi, na kachumbali ikitiwa limao inakuwa salama tukutane nazo huko
 
Ashura tako bovu unaendeleaje hapo magomeni mapipa?
Bi Amina tako bovu...uvaae Baibui kuficha sura ila nyuchi zawadi kwa akina Abdallah...naendelea vizuri Mwenyezi Mungu (S.A.W) anajaalia

Karibu Sheikh
 
Ashura tako bovu unaendeleaje hapo magomeni mapipa?
Bibie wamsikia huyu Shabab asiyejua Maanjumat laadhim kutoka kwa mama na Dada zetu wa pwani?

Hajaona Roast la kitimoto lililopata kuwekwa sotojo la tui ya nazi

Hii ukilipata utasema Allah Akbar
 
Back
Top Bottom