King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mkuu wali nazi 25 ,kisamvu nazi tatu ,pilau nazi+nyanya ni hatari mkuu.Samaki, dagaa na maharage vikiwekwa nazi huwa vyakula vizuri vinavyovyutia kula na ladha ya kueleweka. Nazi kwenye vyakula vingine vingi huwa naona overrated sana.
Sijui ni nini hasa huwa kinawafanya watu watokwe na udenda au kusifia sana wali nazi, nyama nazi, bamia nazi, kisamvu nazi, tambi nazi, pilau nazi, n.k
😋Harage nazi + wali nazi
Utakuwa hujaonja Chai nazi weweSamaki, dagaa na maharage vikiwekwa nazi huwa vyakula vizuri vinavyovyutia kula na ladha ya kueleweka. Nazi kwenye vyakula vingine vingi huwa naona overrated sana.
Sijui ni nini hasa huwa kinawafanya watu watokwe na udenda au kusifia sana wali nazi, nyama nazi, bamia nazi, kisamvu nazi, tambi nazi, pilau nazi, n.k
Huyu hajaonja Kitimoto roast lililotiwa tui la naziWatu wa bara mnafarijiana.
Ukiona maganda ujue amekosea kuunga mboga.Mi naona kula msosi uliojaa maganda ya nyanya yaliyojisokota ndo ujuha
Unaonekana una kanyalo na wanaume kama wewe inataka uvumilivu kuishi nanyi mna vimasharti vingi vingi mpaka mnaboaNadhani imekaa kiurithi wa kitamaduni zaidi..
1. Mimi mawese mekundu nasikia harufu muda wote! Kigoma na makabila ya huko kwao ni murua
2. Mimi chakula kilichopikiww tui ya karanga siwezi gusa kabisa!
3. Olive oil sijawahi ielewa!
4. Cheese and butter ni uchafu
5. Kuunga maziwa kwenye chakula chochote ni wendawazimu!
6. Nazi nailubali kwenye mboha za majani na ubwabwa tu!
Huyo hana masharti mbona, mimi Mwanamke akipika chakula huku amevaa nguo atakula peke yake nakuambiaUnaonekana una kanyalo na wanaume kama wewe inataka uvumilivu kuishi nanyi mna vimasharti vingi vingi mpaka mnaboa
Ndio, carrot za kutosha + hoho napenda sana.Hadi njegere zinawekwa nazi!
Hee ndo mizimu ya kwenu inataka hivyo? Huko kagera miaka hiyo ilikuwa mwanamke huruhusiwi kumenya ndizi ukiwa umekaa kuchuchumaa(kutandama) mume akikufuma chakula hali inabidi zitafutwe ndizi nyingine, ni ukae ufunge miguu ndipo umenye na hairuhusiwi kuongea utatemea chakula, mara kufunga nguo kichwani wakati wa kumenya au kupika hairuhusiwi saiv hotel zote ni sharti kufunga kichwa nywele zisidondokee kwenye chakula,,, kusalimia na kitambaa kichwani haitakiwi visheria ushuzi tu sasa ndiye weweHuyo hana masharti mbona, mimi Mwanamke akipika chakula huku amevaa nguo atakula peke yake nakuambia
Ndio hivyo, yaani Mke umuoe kabisa kwa mahari halafu eti anavaa sijui kanga sijui kitenge wakati wa kupika...Dharau gani hiiHee ndo mizimu ya kwenu inataka hivyo? Huko kagera miaka hiyo ilikuwa mwanamke huruhusiwi kumenya ndizi ukiwa umekaa kuchuchumaa(kutandama) mume akikufuma chakula hali inabidi zitafutwe ndizi nyingine, ni ukae ufunge miguu ndipo umenye na hairuhusiwi kuongea utatemea chakula, mara kufunga nguo kichwani wakati wa kumenya au kupika hairuhusiwi saiv hotel zote ni sharti kufunga kichwa nywele zisidondokee kwenye chakula,,, kusalimia na kitambaa kichwani haitakiwi visheria ushuzi tu sasa ndiye wewe