-Elvis
Member
- Aug 12, 2018
- 34
- 72
hata huwa sielewi kwanini... kiasi cha maji kile kile lakini kwa fupi zinakuwa ugali ugali.Hahahaaaa.. kwanini ziwe ugali? naisubiri hiyo picha kwa hamu nione
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata huwa sielewi kwanini... kiasi cha maji kile kile lakini kwa fupi zinakuwa ugali ugali.Hahahaaaa.. kwanini ziwe ugali? naisubiri hiyo picha kwa hamu nione
Zichemshe halafu zikianza kuiva ziepue umiminie maji ya baridi uzichuje ndo uendelee na kuunga kama na nyama ama na mayai.fupi zinahitaji wataalam kama nyie la sivyo kwangu zitakuwa ugali...siku nikipika nitaweka picha hapa ucheke.
uzi uwepo tu.
Mmh mie mayai sili,wanangu wanazipendaYeap. Kumbe na wewe unapendaga za mayai eeh.
Yani birian la Sele sijalila nina kam miezi 10 hivii. Itabidi nitafute pikipiki au mchuchu awe ananiletea huku mbali nilipo aisee. Sijakulaga biriani tamu mji huu kama la Sele. Jumamosi inshallah ntapika tena.siku ukipika biriani niite nije nionje napena kuulila kwa hamu ila nsipike mie,ijumaa kwa sele najitahidi nilipate
Shukran DadaKaribu mkuu
bunju mpaka kinondoni b mmmmmm pikipiki gharama sana bora uwe unajipikia tu japo ni time consuming sana lile roast na linahitaji shopping kwekweliYani birian la Sele sijalila nina kam miezi 10 hivii. Itabidi nitafute pikipiki au mchuchu awe ananiletea huku mbali nilipo aisee. Sijakulaga biriani tamu mji huu kama la Sele. Jumamosi inshallah ntapika tena.