Mapishi Yangu

Mapishi Yangu

bunju mpaka kinondoni b mmmmmm pikipiki gharama sana bora uwe unajipikia tu japo ni time consuming sana lile roast na linahitaji shopping kwekweli
Sikai Bunju nilikua namzingua tu. Nataka awe ananiletea Mbezi beach.
 
Yani birian la Sele sijalila nina kam miezi 10 hivii. Itabidi nitafute pikipiki au mchuchu awe ananiletea huku mbali nilipo aisee. Sijakulaga biriani tamu mji huu kama la Sele. Jumamosi inshallah ntapika tena.

Kwani UberEats bado haijafika bongo?

Ila biriani la Sele halina mpinzani aisee!

Very soon ntaenda nikalile tena....
 
Msosi huo umenikumbusha enzi za chuo.. ilikuwa kirahisi kukipika kama nina muda ili nisile nje.

Ilikuwa lazima nikienda supermarket ninunue vyakula bila kukosa hayo pia..

Nilikuwa nikipata muda napika msosi utafikiri nilishaolewa na kuwa na familia..

Maisha matamu jamani..
 
Kwani UberEats bado haijafika bongo?

Ila biriani la Sele halina mpinzani aisee!

Very soon ntaenda nikalile tena....

Kumbe na wewe umo
Tamuuuuu

Mie kila penye msosi mtamu huwa najaribu..

Siku hiyo ingine ni bipu humu nikupe ofa Kaka Nyani. 😊
Nitawatumia pesa ukale.. ila unipe na muda wa mtu nitakaye mtuma kufika kwa wakala.🤗
 
Sikai Bunju nilikua namzingua tu. Nataka awe ananiletea Mbezi beach.
Pole dia hapo lazima ukamate mchuchu awe anafanya yake,mimi ni kutembea tu pia hata tunapoishi na Sele ni nyumba ya 3 kutoka home nirahisi sana kwetu.Pale kuna vijana wake wa bodaboda ila wana bei sana pia wanaringa sana wana wateja wengi sana
 
Msosi huo umenikumbusha enzi za chuo.. ilikuwa kirahisi kukipika kama nina muda ili nisile nje.

Ilikuwa lazima nikienda supermarket ninunue vyakula bila kukosa hayo pia..

Nilikuwa nikipata muda napika msosi utafikiri nilishaolewa na kuwa na familia..

Maisha matamu jamani..
Hahaahaaa. Wakati nakaa mwenyewe nilikua siku nikicharukwa napika weee halafu naita marafiki zangu waje kula. Kuna siku nikapika wali wa nazi na samaki chukuchuku na maragae ya nazi na mchicha. Rafiki angu kuja kuona wale samaki acha aanze kuongea eti samaki wa vile hali keshazoea wa kuungwa na nazi. Nikamwambia kula ukishindwa acha kuna mboga nyingine. Mbona alikua ananiomba nimpikie awe anakuja kula samaki chukuchuku. Mi napenda jiko ila niwe na mud tu.
 
Mie navunja mara moja tu
Bila kuzungusha uma sijioni kama nimezila kwa kweli.. hapo jata kijiko basi unaweza kutumia kukila[emoji4]
Hata na kijiko zinalika. Sasa mimi nikana ntamsumbua mtoto kuvuta mavitu marefu
 
Kumbe na wewe umo
Tamuuuuu

Mie kila penye msosi mtamu huwa najaribu..

Siku hiyo ingine ni bipu humu nikupe ofa Kaka Nyani. [emoji4]
Nitawatumia pesa ukale.. ila unipe na muda wa mtu nitakaye mtuma kufika kwa wakala.[emoji847]
Wewe mpenda kula kama mimi basi. Hata nisikie Temeke kuna sehemu kuna msosi mtamu lazima nikahakikishe kama kweli. Napenda vyakula vizuri kweli ndo maana sipungui
 
Pole dia hapo lazima ukamate mchuchu awe anafanya yake,mimi ni kutembea tu pia hata tunapoishi na Sele ni nyumba ya 3 kutoka home nirahisi sana kwetu.Pale kuna vijana wake wa bodaboda ila wana bei sana pia wanaringa sana wana wateja wengi sana
Vijana wake unaweza piga simu wasipokee. Nawajua vizuri kabisa. Ijumaa hii ntatoroka ofisini nije tule biriani maana nimeimiss mnooo.
 
Yani birian la Sele sijalila nina kam miezi 10 hivii. Itabidi nitafute pikipiki au mchuchu awe ananiletea huku mbali nilipo aisee. Sijakulaga biriani tamu mji huu kama la Sele. Jumamosi inshallah ntapika tena.
Jumiafoods hawachukui kwa sele?
 
Hahahaaaa eti local
Nipe offer basi Ijumaa tukale naonaga insta tu sijawahi kwenda kwake
Sawa maaa.. ijumaa saa tano tuchekiane mana natoroka ofisini inabidi niwahi kuondoka nirudi kabla ya saa nane..
 
Vijana wake unaweza piga simu wasipokee. Nawajua vizuri kabisa. Ijumaa hii ntatoroka ofisini nije tule biriani maana nimeimiss mnooo.
na wanaweza wakapokea wakakupa jibu mpaka unashangaa bei sasa,ubaya wa pale ijumaa hekaheka watu wa mjini wote wapo pale mimi naonaga bora kuagiza boda unalia home kuna hekaheka sana pale
 
Back
Top Bottom