Mi naendaga pale pale ndo naenjoy. Sema ndo watu wa mjini kama wote sasa.na wanaweza wakapokea wakakupa jibu mpaka unashangaa bei sasa,ubaya wa pale ijumaa hekaheka watu wa mjini wote wapo pale mimi naonaga bora kuagiza boda unalia home kuna hekaheka sana pale
Hata na kijiko zinalika. Sasa mimi nikana ntamsumbua mtoto kuvuta mavitu marefu
Sawa maa. Nitaanza mfundisha kidogo kidogo.Unamfundisha mtoto mapema na ataweza, tena wana enjoy wakijua wanakuzungusha uma. Mimi wangu walipokuwa babies wanakua walijua kitumia uma pia kwa kinacholiwa na uma.
Wanakua wanajua mengi bila kuhitaji kujifunza ukubwani.
ustadi huu hana 🙁🙁itabidi akajifunzeKaribu ule. Au muombe wifi akupikie hivyo kesho
kutakua na kiporo nije?Weekend hii nilimpumzisha dada kupika nikaingia jikoni mwenyewe. Dada wangu wa kazi anajua kupika hivyo mara nyingi namuachia apike yeye. Jana nilipika biriani ya nyama nikasahau picha. Leo jioni nimepika hizo TAMBI ZA NYAMA YA KUSAGA. Alie karibu asogee kula. View attachment 833872