Pre GE2025 Mapokezi makubwa ya Rais Samia Mkoani Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa wachuna ngozi huko
 
Halafu siku ya uchaguzi mnazima internet na kuengua wagombea wa CHADEMA
Internet haipigi kura- muulize Steve Nyerere alikuwa na like 42m kwenye uchaguzi akapata kura 1 akalia na wajumbe
 

View: https://www.instagram.com/reel/C9jbLgvIQIb/?igsh=N3N0d2N2a2xzaXQz
 
Sasa kwa CHADEMA mbona huo umati AUSI tu kada wa CHADEMA anaukusanya na gari hana ,atafika mkutanoni kwa kwa Bodaboda tu...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…