Pre GE2025 Mapokezi makubwa ya Rais Samia Mkoani Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi yetu Ina wajinga wengi pia. Wewe ni mfano wa wajinga tulionao. Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukesha kuandika vitu kama hivi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Sasa mbona huyo Mama anataka kutoroka na Maboksi ya Kura.
 
Ushauri uliowapa ni mzuri. Watajiingiza tu hasara kuweka mgombea urais. Ila Mbowe mjanja yeye atagombea ubunge huku akiweka mgombea urais wa kukodi kutoka CCM.
 
Msafara wa gari 152 ,kila gari lina watu wasiopungua watano ,hapo tu UJUMBE una watu zaidi ya 750...Ukijumlisha na wanafunzi primary na secondary lazima mapokezi yaonekane makubwa.
 
Msafara wa gari 152 ,kila gari lina watu wasiopungua watano ,hapo tu UJUMBE una watu zaidi ya 750...Ukijumlisha na wanafunzi primary na secondary lazima mapokezi yaonekane makubwa.
Acha wivu wako wewe .Naona mmekosa hoja .kwa kuwa awali mlikuwaga mnasema watu ni wachache kwenye mikutano yake .sasa mmeanza kuweweseka baada ya kuona mafuriko ya wananchi kila anapotua Rais wetu mpendwa
 
Nchi yetu Ina wajinga wengi pia. Wewe ni mfano wa wajinga tulionao. Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukesha kuandika vitu kama hivi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Wewe hunaga akili kabisa .
 
Halafu siku ya uchaguzi mnazima internet na kuengua wagombea wa CHADEMA
CHADEMA na wagombea wake Wakifanya uzembe wa kujaza Fomu wataenguliwa tu bila huruma.maana tume haiwezi Lea na kuvumilia ujinga na uzembe.
 
Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na wivu .
Huyu mtanzania anahitaji kupewa elimu ili kujua mazuri yanayotendeka nchini ili aungane nasi tuliojaa bashasha na kububujikwa machozi ya furaha kila tunapokumbuka kazi nzuri za Mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…