KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Haituhusu.Na mikopo anayochukua kila kukicha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haituhusu.Na mikopo anayochukua kila kukicha
AkomeKitendawili kishateguliwa huko
Mtu kurudi kwao ni vibaya? kwa hiyo hata wewe hupataki kwenu?Acha hii kauli. Siyo nzuri na haipendezi.
Hahaha nimesikikiza clip moja ya Mbowe akimwambia Supika juu ya kauli yake ya "apende asipende", kweli life wakati mwingine ni mazafakaAkome
Alikuwa mjinga snHahaha nimesikikiza clip moja ya Mbowe akimwambia Supika juu ya kauli yake ya "apende asipende", kweli life wakati mwingine ni mazafaka
Mungu mjaalie rais hekima atuongoze kwa busara.Mapokezi ni babkubwa Mama yetu Mkuu wa Nchi na Kamanda Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania nzima Mama Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Rasmi atatua Visiwa vya Karafuu kule Pemba kwa ajili kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Karibu Mama Jemedari Mkuu, Umethubutu, Unaweza, Umeweza hakuna kama Mama, Tunakupenda sana
View attachment 2070629
Ule utaratibu wa raisi anatoka bara alafu Makamu Zanzibar, mwambieni 2025 tunaurudisha.
MkopoHizo gharama nani analipa?
ZRB, ni Board.kwanini asilipiwe na ZRA sijui?
Hajawahi kufika Pemba kwa miaka mingi sasa.Anashinda huko
Muungano uvunjweZRB, ni Board.
SawaMkopo
Hahahaaa, bora. Walisema tuwaache wapumue, sasa na sisi tuseme tuwaache waende...Muungano uvunjwe
Kila la heri kwenye ziara mh.SSHMapokezi ni babkubwa Mama yetu Mkuu wa Nchi na Kamanda Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania nzima Mama Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Rasmi atatua Visiwa vya Karafuu kule Pemba kwa ajili kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Karibu Mama Jemedari Mkuu, Umethubutu, Unaweza, Umeweza hakuna kama Mama, Tunakupenda sana
View attachment 2070629