Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
umesikikaMimi ni mkazi wa jimbo la kibamba,to be honest mnyika inabidi afanye kazi kuwashawishi wakazi wa kibamba upande wa mbezi ili wampe kura,maana tangu achaguliwe hamna cha maana alichofanya na hajaonekana huku toka 2015,anadeal sana na upande wa goba kule,ajipange hasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa wakati mwingine ni vichekesho. Vikao vy CHADEMA vimefanyika DAR; Mh Mnyika anaishi Dar sasa kusema ndio kafika jimboni kwa mara ya kwanza ina maana awapo Dar halali nyumbani kwake ambako ndiko jimboni kwake?Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama.
Katika Hotuba yake fupi lakini iliyojaa madini matupu aliyoitoa mbele ya umati wa wananchi hao amesisitiza kila mmoja wakiwemo wanahabari kuongeza juhudi za kupigania kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi ili kupata viongozi watakaoondoa Ombwe la uongozi.
View attachment 1320971
Mange mlimwingiza chaka, Dar nzima wakajitokeza watu 9 tu. Wengine wakajibanza kwenye Keyboard zao kwenye vyumba vyao vya uani.Mwanangu tuingie kitaa tu.
Kulala nyumbanii si kulala jimboni .Siasa wakati mwingine ni vichekesho. Vikao vy CHADEMA vimefanyika DAR; Mh Mnyika anaishi Dar sasa kusema ndio kafika jimboni kwa mara ya kwanza ina maana awapo Dar halali nyumbani kwake ambako ndiko jimboni kwake?
Akili mgando hizi, kwani maisha ni kuwa mbunge tu, mbin kazii zipo nyingi sana za kufanya kwenye chama istoshe akikosa ubunge ndio atatumikia mafasi ya ukatibu vemakweli?
Ila ukifika umri fulani kuoa na kuhama kwa wazazi ni muhimu. Sijamtaja mtu lakini.Kulala nyumbanii si kulala jimboni .
labda kuhama nyumbani , lakini kuoa hakuna ulazima wowoteIla ukifika umri fulani kuoa na kuhama kwa wazazi ni muhimu. Sijamtaja mtu lakini.
kwa kazi gani inayofanya sasa mpaka ibarikiweMungu ibariki Chadema
Waliandamana wale wa mabakamabaka na mapoliccm walijaa njiani, isicheze na ngoma ya Mange, tulilala zetu ndani huku tukiwaangalia walivyopigishwa kwata na Mange yuko US? Nani mwenye akili hapo??Mange mlimwingiza chaka, Dar nzima wakajitokeza watu 9 tu. Wengine wakajibanza kwenye Keyboard zao kwenye vyumba vyao vya uani.
Mnyika siyo Dr. Lakini anamzidi Dr. bashiru kwa vitu vingi kama vile weledi, busara, utu, hekima, maarifa, na mengine yanayofanana na hayo.Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama.
Katika Hotuba yake fupi lakini iliyojaa madini matupu aliyoitoa mbele ya umati wa wananchi hao amesisitiza kila mmoja wakiwemo wanahabari kuongeza juhudi za kupigania kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi ili kupata viongozi watakaoondoa Ombwe la uongozi.
View attachment 1320971
"Lamba" sio "Ramba"
Kwani mimi ndio niliwashawishi msusie Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au mliposusia mlifikiri mtabembelezwa? Eti Jumuiya ya Kimataifa itaingilia kati!! Pumbavu!
Kwani mimi ndio niliwashawishi msusie Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au mliposusia mlifikiri mtabembelezwa? Eti Jumuiya ya Kimataifa itaingilia kati!! Pumbavu!
Ahahahaha! Mnajifanya kuzira eti? Mbona leo Wazee wa Chadema eti lazima tushiriki Uchaguzi Mkuu. Kuna aliyewazuia au ushamba wenu? Susieni tena kama mna ubavu!! Pumbavu!
Mwenye akili ni yule tu anayejua kuwa ule haukuwa mpango dhamiriwa.Waliandamana wale wa mabakamabaka na mapoliccm walijaa njiani, isicheze na ngoma ya Mange, tulilala zetu ndani huku tukiwaangalia walivyopigishwa kwata na Mange yuko US? Nani mwenye akili hapo??
Nakubali. Basi ndio ahame sasa.labda kuhama nyumbani , lakini kuoa hakuna ulazima wowote