Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chadema Mh Mnyika yatikisa Kibamba, awaasa wanahabari kupigania Tume huru ya uchaguzi, Kabendera na Magoti watajwa

Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chadema Mh Mnyika yatikisa Kibamba, awaasa wanahabari kupigania Tume huru ya uchaguzi, Kabendera na Magoti watajwa

Mimi ni mkazi wa jimbo la kibamba,to be honest mnyika inabidi afanye kazi kuwashawishi wakazi wa kibamba upande wa mbezi ili wampe kura,maana tangu achaguliwe hamna cha maana alichofanya na hajaonekana huku toka 2015,anadeal sana na upande wa goba kule,ajipange hasa

Sent using Jamii Forums mobile app
umesikika
 
Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama.

Katika Hotuba yake fupi lakini iliyojaa madini matupu aliyoitoa mbele ya umati wa wananchi hao amesisitiza kila mmoja wakiwemo wanahabari kuongeza juhudi za kupigania kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi ili kupata viongozi watakaoondoa Ombwe la uongozi.

View attachment 1320971
Siasa wakati mwingine ni vichekesho. Vikao vy CHADEMA vimefanyika DAR; Mh Mnyika anaishi Dar sasa kusema ndio kafika jimboni kwa mara ya kwanza ina maana awapo Dar halali nyumbani kwake ambako ndiko jimboni kwake?
 
Siasa wakati mwingine ni vichekesho. Vikao vy CHADEMA vimefanyika DAR; Mh Mnyika anaishi Dar sasa kusema ndio kafika jimboni kwa mara ya kwanza ina maana awapo Dar halali nyumbani kwake ambako ndiko jimboni kwake?
Kulala nyumbanii si kulala jimboni .
 
Akili mgando hizi, kwani maisha ni kuwa mbunge tu, mbin kazii zipo nyingi sana za kufanya kwenye chama istoshe akikosa ubunge ndio atatumikia mafasi ya ukatibu vema
 
Mange mlimwingiza chaka, Dar nzima wakajitokeza watu 9 tu. Wengine wakajibanza kwenye Keyboard zao kwenye vyumba vyao vya uani.
Waliandamana wale wa mabakamabaka na mapoliccm walijaa njiani, isicheze na ngoma ya Mange, tulilala zetu ndani huku tukiwaangalia walivyopigishwa kwata na Mange yuko US? Nani mwenye akili hapo??
 
Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama.

Katika Hotuba yake fupi lakini iliyojaa madini matupu aliyoitoa mbele ya umati wa wananchi hao amesisitiza kila mmoja wakiwemo wanahabari kuongeza juhudi za kupigania kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi ili kupata viongozi watakaoondoa Ombwe la uongozi.

View attachment 1320971
Mnyika siyo Dr. Lakini anamzidi Dr. bashiru kwa vitu vingi kama vile weledi, busara, utu, hekima, maarifa, na mengine yanayofanana na hayo.
 
Katiba mbovu ambayo hata hivyo hawaifuati na tume isiyo huru ya uchaguzi ndio karata ya mwisho ya CCM kubaki madarakani.CCM kuruhusu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni kuruhusu kuondolewa madarakani. Hawawezi ruhusu!
 
Waliandamana wale wa mabakamabaka na mapoliccm walijaa njiani, isicheze na ngoma ya Mange, tulilala zetu ndani huku tukiwaangalia walivyopigishwa kwata na Mange yuko US? Nani mwenye akili hapo??
Mwenye akili ni yule tu anayejua kuwa ule haukuwa mpango dhamiriwa.
 
Back
Top Bottom