Pre GE2025 Mapokezi ya Mbowe Mererani yavunja rekodi yake mwenyewe, Umati hauhesabiki

Pre GE2025 Mapokezi ya Mbowe Mererani yavunja rekodi yake mwenyewe, Umati hauhesabiki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo (Nothing lasts longer), Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

Screenshot_2024-07-14-18-51-38-1.png
Screenshot_2024-07-14-18-51-26-1.png


Wengine wlaliamua kupanda miti

Screenshot_2024-07-14-21-39-14-1.png
Screenshot_2024-07-14-21-38-56-1.png
 
M
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

View attachment 3042446View attachment 3042447
Mwamba kaingia migodini
 
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

View attachment 3042446View attachment 3042447
Huwa napenda sana, kusoma thread zako namfananisha na mtu fulani wakati tulikuwa naye chuoni Moscow.
Patrice Lumumba Peoples' Friendship University of Russia

Kwa umahiri wake wa uandishi na kuchochewa hoja . Mbobevu katika kueneza propaganda
 
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

View attachment 3042446View attachment 3042447
Anaweza tunishiana misuli na Mwamposa kujaza watu japo kwa 10% ya Mwamposa?
 
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

View attachment 3042446View attachment 3042447
Picha inapigwa huku kunatimuliwa vumbi kuonekane vivuli kweli siasa ni mkakati na ku-win vilaza!
 
Hahahaa
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

View attachment 3042446View attachment 3042447
 
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo

Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!

Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?

Tuendelee kusubiri ya KANU

View attachment 3042446View attachment 3042447
Warudi huku waongeze nguvu
 
Kazi nzuri sana hii, ila kinachoniudhi ni kule kuendekeza mambo yaliyopita ya kiukanda na ukabila
 
Mwamposa akiendelea kumfuata Makonda ajiandae kupotea, Shetani hana rafiki, Uchafu wa Makonda hausafishiki, halafu cha kushangaza hatujawahi kumuona Makonda Tanganyika Parkers
Sidhani kama unazidi ule uchafu wa mambuzi ya kafara migombani
 
Back
Top Bottom