The Lost Boy
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 248
- 311
Ngoja tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone
Huyo mwamposa naye devil worshiper tuMwamposa akiendelea kumfuata Makonda ajiandae kupotea, Shetani hana rafiki, Uchafu wa Makonda hausafishiki, halafu cha kushangaza hatujawahi kumuona Makonda Tanganyika Parkers
Sema Mbowe ni saddest sana! Bado anazungumzia Wachaga kutengwa na kunyimwa ajira na Magufuli! Nabaki najiuliza tu maana kuna jamaa zangu Wachaga walipata ajira 2019! Angefanyiwa kama Wamasai Ngorongoro ingekuwaje?Hakuna Ushahidi wa huo Ukabila, ni Majungu tu
Nani ameendekeza?Kazi nzuri sana hii, ila kinachoniudhi ni kule kuendekeza mambo yaliyopita ya kiukanda na ukabila
Hii siyo ile CHADEMA tulozoea kuiona miaka kumi na Tano iliyopia,hapana hii nyomi siyo ile tuloizoea,labda kama CHADEMA wanaanza upya.
Na wao wafanye ukabila si wana makabila yaoHakuna Ushahidi wa huo Ukabila, ni Majungu tu
Huu ni muungano wa mashetani wawiliMwamposa akiendelea kumfuata Makonda ajiandae kupotea, Shetani hana rafiki, Uchafu wa Makonda hausafishiki, halafu cha kushangaza hatujawahi kumuona Makonda Tanganyika Parkers
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo (Nothing lasts longer), Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.
Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!
Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?
Tuendelee kusubiri ya KANU
View attachment 3042446View attachment 3042447
Wengine wlaliamua kupanda miti
View attachment 3042565View attachment 3042566
Hapo kuna ukabila gani? kwamba Mbowe asifanye mikutano Kilimanjaro?Kazi nzuri sana hii, ila kinachoniudhi ni kule kuendekeza mambo yaliyopita ya kiukanda na ukabila
Kwani hiyo ni vumbi au ni mist?Picha inapigwa huku kunatimuliwa vumbi kuonekane vivuli kweli siasa ni mkakati na ku-win vilaza!
Anamfuata Gwajima na Kakobe waliko. Kwani walianzaje? Aache siasa kabisa MWAMPOSA namshauri. Ila kama ni nguvu itokanayo na mafuta na maji siyo Kwa MUNGU, Aendelee kusaport atawin ila kama anatumia nguvu za MUNGU wa Mbinguni halafu anahangaika na mambo ya Dunia hii kaisha!Mwamposa akiendelea kumfuata Makonda ajiandae kupotea, Shetani hana rafiki, Uchafu wa Makonda hausafishiki, halafu cha kushangaza hatujawahi kumuona Makonda Tanganyika Parkers
Kwani akiwa mwenyekiti we anakukera nn? Mbona haujamwambia Kinana apumzike. Pengine we haujazaliwa yupo kuhangaika na siasa zake za kuwafunga watu kamba eti CCM hakuna Rushwa. We mwenyewe unaiunga mkono CCM Kwa nguvu ya MLUNGULA?Mzee Mbowe angepumzika uenyekiti
Dah 😂Mkuu utusamehe kwa picha hizo, Mtiti wake haukuwa wa kawaida, Camera zetu mbili zimeungua kutokana na kuzidiwa