Pre GE2025 Mapokezi ya Mbowe Mererani yavunja rekodi yake mwenyewe, Umati hauhesabiki

Pre GE2025 Mapokezi ya Mbowe Mererani yavunja rekodi yake mwenyewe, Umati hauhesabiki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aisee kuna saa najiuliza kama nyie mkiingia badala ya haya majambazi ya CCM kutakuwa na tofauti sababu as far as uchawa na kujaribu kupindisha ukweli naona mpo sawa...
Vyama vyote vimejaa majambazi , ila wengine hawajapata fursa ya kuonyesha ujambazi wao. Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kwamba yake. Siku tukiwakabidhi serikali tutasema :" Afadhali majambazi ya zamani tulikuwa tumeyazoea kuliko majambazi haya yenye njaa Kali yanakomba kila kitu. CCM kama majambazi yenye uzoefu wa siku nyingi yanajua kula na vipofu. Lakini hayo majambazi mapya yakifika madarakani kwa njaa ambayo yatakuwa nayo ukiongeza na urimbukeni wa kukaa ikulu kwa mara ya kwanza hata vipovu watajua kuwa Sasa nchi imekamatwa na majambazi.
 
Ccm wepesi sana
Wakikubali kucheza fair game
Mapema sana wanangoka

Ova
 
KANU kweli ilishaondoka madarakani na Bado leo vijana wenye hasira Kali wanaandamana na kuchoma moto majengo ambayo serikali ya KANU iliyajenga kupitia Kodi za wananchi. KANU iliondoka na Bado hali ni bora ya jana na ndio maana watu wanaandamana kupinga serikali iliyopo madarakani. Hii inaonyesha kwamba wakenya hawajapata faida yoyote baada ya kuiondoa KANU madarakani ndio maana Bado wanaandamana kupinga serikali iliyopo Sasa.
Miaka mitano baada ya KANU kuondoka madarakani wakenya wakauana wenyewe kwa wenyewe hadi wengine kukimbilia nchi Jirani hasa Tanzania. Tutarajie hayohayo siku CCM itakapoondoka madarakani. wakati mwingine KUBADILI CHAMA TAWALA NI KAMA KUBADILI GLASI WAKATI KINYWAJI NI KILEKILE!!
Na unajua kwanini KANU iliondoka ? Ni baada ya Moi kukosea hesabu atakata kuwaletea wazee Uhuru Kenyatta wakati na wao walikuwa wanataka kula keki matokeo yake wakagawana mbao na kusepa hence TANU kuparaganyika..., ila ndio walewale kina Ruto, Uhuru n.k. (nothing has changed ni mvinyo ule ule)
 
Punguza kupaniki kwanza,Chama kimepungua idadi ya wafuasi
CHADEMA ana maadui wengi kuliko ata Chama chochote cha kisiasa ndani ya nchi hii;
-Serikali
-CCM
-ACT wazalendo
-Sukuma gang ikiongozwa na Makonda
-Machawa na Media zao,
-Viongozi wa dini uchwara Kama Mwamposa,Bakwata etc
Yani hii vita ni ngumu sana lakini bado Chama ndio kinavyozidi kustawi kila siku

Hii ndio CHADEMA sasa tuitakayo………kwenye nchi hii hakuna Chama chenye kiu ya kushika dola kama CHADEMA na nina imani muda sio mrefu kitashika dola
 
Vyama vyote vimejaa majambazi , ila wengine hawajapata fursa ya kuonyesha ujambazi wao. Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kwamba yake. Siku tukiwakabidhi serikali tutasema :" Afadhali majambazi ya zamani tulikuwa tumeyazoea kuliko majambazi haya yenye njaa Kali yanakomba kila kitu. CCM kama majambazi yenye uzoefu wa siku nyingi yanajua kula na vipofu. Lakini hayo majambazi mapya yakifika madarakani kwa njaa ambayo yatakuwa nayo ukiongeza na urimbukeni wa kukaa ikulu kwa mara ya kwanza hata vipovu watajua kuwa Sasa nchi imekamatwa na majambazi.
Kaka wewe unateswa na umasikini tu ndo unaokusumbua……bado unaishi kwenye fikra za kizamani sana na haujui unatakiwa uende wapi

Waafrika wengi hasa wenye akili ndogo Kama wewe uwa mnapenda kukaa kwenye nyumba mbovu kila siku na hamtaki kutoka hapo kwa kisingizio eti hiyo nyumba umeizoea………wewe ni Muhafidhina wa kisasa
 
Si kweli, haya maandamano ya Kenya yanasababishwa na Uongo wa William Ruto wa "BOTTOM UP"
Nachomaanisha ni kwamba tukiiondoa CCM madarakani tutakuwa tumewafukuza kazi wanasiasa na kuajiri wanasiasa wengine bila kujua kwamba akili za wanasiasa wote zinafanana!. Kama ambavyo KANU imeondoka madarakani na Bado Kenya ina matatizo kibao, hata sisi tukiiondoa CCM madarakani tusitarajie kuwa Kuna miujiza yoyote itakayoletwa na vyama ambavyo kwa Sasa ni vya upinzani, eti tu kisa tu CCM imeondoka madarakani. Tutakuja itamani CCM na wakati huo maji yatakuwa yameishamwagika hatuwezi kuyazoea Tena.
 
Nachomaanisha ni kwamba tukiiondoa CCM madarakani tutakuwa tumewafukuza kazi wanasiasa na kuajiri wanasiasa wengine bila kujua kwamba akili za wanasiasa wote zinafanana!. Kama ambavyo KANU imeondoka madarakani na Bado Kenya ina matatizo kibao, hata sisi tukiiondoa CCM madarakani tusitarajie kuwa Kuna miujiza yoyote itakayoletwa na vyama ambavyo kwa Sasa ni vya upinzani, eti tu kisa tu CCM imeondoka madarakani. Tutakuja itamani CCM na wakati huo maji yatakuwa yameishamwagika hatuwezi kuyazoea Tena.
Una mawazo duni sana!
 
Kaka wewe unateswa na umasikini tu ndo unaokusumbua……bado unaishi kwenye fikra za kizamani sana na haujui unatakiwa uende wapi

Waafrika wengi hasa wenye akili ndogo Kama wewe uwa mnapenda kukaa kwenye nyumba mbovu kila siku na hamtaki kutoka hapo kwa kisingizio eti hiyo nyumba umeizoea………wewe ni Muhafidhina wa kisasa
Yawezekana kweli Mimi ni maskini.
Mimi sio tajiri kama foreman mbowe , Lisu, Lipumba na zito kabwe. Lakini nikikaa na kujitumainisha kwamba siku CCM ikiondoka madarakani nitatajirika niwe kama Mbowe, Lipumba na Zito basi Mimi nitakuwa si masikini kwa kuwa sina Mali tu, lakini nitakuwa na umasikini wa kukosa fikra sahihi. Viongozi wa vyama vyote vilivyopo madarakani na vya upinzani ni watu ambao tayari wameishafanikiwa, ila wanatafuta kifanikiwa zaidi kupitia kura za wananchi. Dunia nzima hakuna nchi ambayo raia wote ni matajiri, pia hakuna nchi ambayo raia wote ni masikini. Nchi zote zina Zina matajiri na masikini. Kukaa na kijitumainisha kuwa umasikini wangu umesababishwa na CCM na kwamba siku CCM ikiondoka madarakani nitatajirika nitakuwa masikini wa fikra. Kila mtu apambane apate mkate wake alioandikiwa na mola, lakini kuweka matumaini kwa wanasiasa ni kujidanganya sana.
 
Yawezekana kweli Mimi ni maskini.
Mimi sio tajiri kama foreman mbowe , Lisu, Lipumba na zito kabwe. Lakini nikikaa na kujitumainisha kwamba siku CCM ikiondoka madarakani nitatajirika niwe kama Mbowe, Lipumba na Zito basi Mimi nitakuwa si masikini kwa kuwa sina Mali tu, lakini nitakuwa na umasikini wa kukosa fikra sahihi. Viongozi wa vyama vyote vilivyopo madarakani na vya upinzani ni watu ambao tayari wameishafanikiwa, ila wanatafuta kifanikiwa zaidi kupitia kura za wananchi. Dunia nzima hakuna nchi ambayo raia wote ni matajiri, pia hakuna nchi ambayo raia wote ni masikini. Nchi zote zina Zina matajiri na masikini. Kukaa na kijitumainisha kuwa umasikini wangu umesababishwa na CCM na kwamba siku CCM ikiondoka madarakani nitatajirika nitakuwa masikini wa fikra. Kila mtu apambane apate mkate wake alioandikiwa na mola, lakini kuweka matumaini kwa wanasiasa ni kujidanganya sana.
Mwamba unajitambua sana nashangaa sana hawa wanavyojidanganya kushabikia vyama vya siasa kwa kuamini eti vitawakomboa kiuchumi in short umemjibu vizuri sana huyo jamaa
 
CHADEMA ana maadui wengi kuliko ata Chama chochote cha kisiasa ndani ya nchi hii;
-Serikali
-CCM
-ACT wazalendo
-Sukuma gang ikiongozwa na Makonda
-Machawa na Media zao,
-Viongozi wa dini uchwara Kama Mwamposa,Bakwata etc
Yani hii vita ni ngumu sana lakini bado Chama ndio kinavyozidi kustawi kila siku

Hii ndio CHADEMA sasa tuitakayo………kwenye nchi hii hakuna Chama chenye kiu ya kushika dola kama CHADEMA na nina imani muda sio mrefu kitashika dola
 
Tunaomba maoni yako mkuu
Maoni yangu ni yale yale siku zote, siasa za matukio na kushangilia nyomi, won't get you anywhere!, kinachohotajika ni siasa za sttrategia za reaching out strategies, kuwafikia grassroot levels na ujumbe wa changing their mindset. Nyomi sio kura!. Sijawahi kuona hata nusu ya nyomi hii Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Ushauri wangu huu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... bullets points no. 17
17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote -haswa hawa grassroots level na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea maandamano na mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of "changing the mindset" ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV and convert chumba kimoja pale Ufipa into a modern studio! na kuwa na YouTube Channel yake ya live stream na active interactive social media pages, Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu! CCM ina media yake na TV yake ya TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali

P
 
Back
Top Bottom