Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Sii mchezo!.Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo
Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!
Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?
Tuendelee kusubiri ya KANU
View attachment 3042446View attachment 3042447
Yaani unampa ujumbe lissu na pambalu wameshakusikia!Mkuu hii kazi inayofanyika huko site si ya kitoto, Usifanye Mchezo kuzunguka na Chopa mwezi mzima, hela nyingi mno inatumika halafu kuna mabwege wanadhani tunafanya kazi ya kanisa, wasubiri matokeo
Tunaomba maoni yako mkuuSii mchezo!.
P
Unajua hata KANU ya Kenya ilipokuwa inakufa, Daniel Arap Moi na Mamluki wake hawakujua, Lakini mpaka tunaandika hapa hata kaburi lake halijulikani lilipo (Nothing lasts longer), Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.
Hivi ndivyo CCM inavyoisha na wanajua, ila wanadhani Wataokolewa na Polisi, yaani ni kama mtu mjinga anayeamua kuchoma moto nyumba yake akitegemea kupiga simu Zimamoto ili waje wazime!
Viongozi wote wa ccm wanajua kabisa kwamba wakikubali Tume huru wanang'olewa mapema sana, lakini ni mpaka lini polisi wataendelea kutumia bunduki za umma kuisaidia ccm na kwanini?
Tuendelee kusubiri ya KANU
View attachment 3042446View attachment 3042447
Kwa mfano hapa kinachopindishwa ni nini?Aisee kuna saa najiuliza kama nyie mkiingia badala ya haya majambazi ya CCM kutakuwa na tofauti sababu as far as uchawa na kujaribu kupindisha ukweli naona mpo sawa...
Matusi na uchawi ndio nguzo ya Masikini
Kama ni hivyo kinachokuliza ni nini?Hii siyo ile CHADEMA tulozoea kuiona miaka kumi na Tano iliyopia,hapana hii nyomi siyo ile tuloizoea,labda kama CHADEMA wanaanza upya.
Manu tunabeba msimu huuMatusi na uchawi ndio nguzo ya Masikini
KANU kweli ilishaondoka madarakani na Bado leo vijana wenye hasira Kali wanaandamana na kuchoma moto majengo ambayo serikali ya KANU iliyajenga kupitia Kodi za wananchi. KANU iliondoka na Bado hali ni bora ya jana na ndio maana watu wanaandamana kupinga serikali iliyopo madarakani. Hii inaonyesha kwamba wakenya hawajapata faida yoyote baada ya kuiondoa KANU madarakani ndio maana Bado wanaandamana kupinga serikali iliyopo Sasa.Aisee kuna saa najiuliza kama nyie mkiingia badala ya haya majambazi ya CCM kutakuwa na tofauti sababu as far as uchawa na kujaribu kupindisha ukweli naona mpo sawa...
Kama ambavyo wakenya hawakupata faida yoyote kwa kuiondoa KANU madarakani (hadi Leo wanaandamana na kuchoma moto majengo ya serikali) sisi pia hatutapata faida yoyote kwa kuiondoa CCM madarakani. KUBADILI CHAMA TAWALA NI SAWA NA KUBADILI GLASI WAKATI KINYWAJI NI KILEKILE.Aisee kuna saa najiuliza kama nyie mkiingia badala ya haya majambazi ya CCM kutakuwa na tofauti sababu as far as uchawa na kujaribu kupindisha ukweli naona mpo sawa...
Bro umekua kama Lucas 😁Mkuu utusamehe kwa picha hizo, Mtiti wake haukuwa wa kawaida, Camera zetu mbili zimeungua kutokana na kuzidiwa
Kwa hiyo unakiri kwamba kiwango kimeshukaKama ni hivyo kinachokuliza ni nini?
Si kweli, haya maandamano ya Kenya yanasababishwa na Uongo wa William Ruto wa "BOTTOM UP"KANU kweli ilishaondoka madarakani na Bado leo vijana wenye hasira Kali wanaandamana na kuchoma moto majengo ambayo serikali ya KANU iliyajenga kupitia Kodi za wananchi. KANU iliondoka na Bado hali ni bora ya jana na ndio maana watu wanaandamana kupinga serikali iliyopo madarakani. Hii inaonyesha kwamba wakenya hawajapata faida yoyote baada ya kuiondoa KANU madarakani ndio maana Bado wanaandamana kupinga serikali iliyopo Sasa.
Miaka mitano baada ya KANU kuondoka madarakani wakenya wakauana wenyewe kwa wenyewe hadi wengine kukimbilia nchi Jirani hasa Tanzania. Tutarajie hayohayo siku CCM itakapoondoka madarakani. wakati mwingine KUBADILI CHAMA TAWALA NI KAMA KUBADILI GLASI WAKATI KINYWAJI NI KILEKILE!!
Sijakiri ila nataka ushangilie, UsilieKwa hiyo unakiri kwamba kiwango kimeshuka
HayaBro umekua kama Lucas 😁
Punguza kupaniki kwanza,Chama kimepungua idadi ya wafuasiSijakiri ila nataka ushangilie, Usilie
Tukitegemea Polisi Tutashindwa- KikweteCCM mna option moja tu; boresheni mbinu za wizi wa kura 2025.