Anamfuata Gwajima na Kakobe waliko. Kwani walianzaje? Aache siasa kabisa MWAMPOSA namshauri. Ila kama ni nguvu itokanayo na mafuta na maji siyo Kwa MUNGU, Aendelee kusaport atawin ila kama anatumia nguvu za MUNGU wa Mbinguni halafu anahangaika na mambo ya Dunia hii kaisha!