Peter Dafi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 392
- 272
Yapo sana.Haya Mambo Kumbe Bado Yapo, Lumumba Buku Saba FC
Matumizi ya rasilimali za umma hovyoKwa vile hamna kazi maalum za kufanya, poteze muda kumpokea chawa mwenzenu aliyeufufuliwa na kipenzi chake mama
Kutoka kuzimuAnapokelewa kutoka wapi?
Hilo genge la CCM Lina wazandiki balaa, aangalie tu usalama wake yasijemkuta ya mzee mangula.Kumekucha !!View attachment 2791632
Hapo sawaKutoka kuzimu
Dafi na we utateuliwa lini? Maana umepambana muda sana.
Amina, Kila la heri.Muda bado Ndugu yangu!
Muda ukifika Jambo litakuwa tu mambo haya Mungu anapanga pia hivyo tuendelee kumtumainia yeye.
Mimi ni Chadema pure Ila kwa Makonda mmetyletea Moto!View attachment 2791568
MAPOKEZI YA PAUL C. MAKONDA KULISIMAMISHA JIJI LA DAR ES SALAAM SIKU YA ALHAMISI.
Siku ya Alhamisi 26/10/2023 Saa 03:00 Asubuhi, Katibu mwenezi wa Taifa Ndugu Paul C. Makonda anatarajiwa kupokelewa Rasmi Ofisi Ndogo ya Makao Makuu Lumumba, Mkoani Dar es Salaam.
Viongozi, Wanachama wa CCM, Wakereketwa na Wapenzi wote wa CCM bila kuwasahau wale Msio na vyama ila mnajua na kuipenda Kazi ya Katibu Mwenezi Makonda.
Mnakaribishwa wote kuja kumpokea siku ya Alhamisi katika Jiji la Mzizima.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
na kazi iendeleee....hunijui sikutambuiKumekucha !!View attachment 2791632