Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana braza, naamini unajua mm nilipambana kukutetea l, usinisahau pahala Pako pema!Kumekucha !!View attachment 2791632
Anajua kuroga?Dafi na we utateuliwa lini? Maana umepambana muda sana.
Chama chenye katibu mwenezi mhalifu aliye na marufuku ya kuingia US kwa kosa la kudhulumu haki ya watu kuishi.
Mungu yule aliyemwondoa mamlakani wakati Lissu anarejea nchini yuu hai hata sasa.
Waliomwokota Makonda wakifikiri hasira za Mwenyezi juu yake zinepoa wasubiri waone kilicholipata jeshi la Farao walipojaribu kupita pakavu pa bahari wakidhani bahari ilifunguliwa kwa ajili ya wao kuwamaliza wana wa Israel kumbe ilifunguliwa kwa minajili ya kuwatenga na farao milele kwa kulichinjia jeshi lake baharini.
Hiki ndicho kitakacho tokea kwa ccm.
Itunzeni msg yangu hii!
😂 😂 😂 😂 😂 😂Kuubya Chama Kisiwandui.
Yapo sana.
Nakala kwa :Lucas Mbwa Wa Shamba.
Kumekucha !!View attachment 2791632
Jamaa ana uthubutu Sana.Hii si ya kukosa.. karibu kwenye kiti chako Mheshimiwa Makonda. Kiti ilibidi ukikalie muda mrefu sana. Kiongozi mwenye uthubutu.
Mwamba....View attachment 2791568
MAPOKEZI YA PAUL C. MAKONDA KULISIMAMISHA JIJI LA DAR ES SALAAM SIKU YA ALHAMISI.
Siku ya Alhamisi 26/10/2023 Saa 03:00 Asubuhi, Katibu mwenezi wa Taifa Ndugu Paul C. Makonda anatarajiwa kupokelewa Rasmi Ofisi Ndogo ya Makao Makuu Lumumba, Mkoani Dar es Salaam.
Viongozi, Wanachama wa CCM, Wakereketwa na Wapenzi wote wa CCM bila kuwasahau wale Msio na vyama ila mnajua na kuipenda Kazi ya Katibu Mwenezi Makonda.
Mnakaribishwa wote kuja kumpokea siku ya Alhamisi katika Jiji la Mzizima.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Hama nchi... ndio rais wa baadae huyu...!Hii nchi aisee, huyu alikuwa anaongoza magenge ya uhalifu, leo ni mtu mkubwa
Elewa neno "KIPENZI".Kwa vile hamna kazi maalum za kufanya, poteze muda kumpokea chawa mwenzenu aliyeufufuliwa na kipenzi chake mama