Hio C inasimama badala ya nini? Maana wahuni hawachelewi kuita wanavyojua utasikia wanasema C ni Choko na wengine watasema C inasimama km ChawaPaul C. Makonda
Usijitanue sana siku zako zinahesabika na wewe utapangiwa kazi nyingine very soon au utolewe kabisa mchezoni, umeingia sub unaaanza kuwaonyesha mashabiki vidole vya KatiKumekucha !!View attachment 2791632
Daudi Albert BashiteDAB,
Sidhani Makonda anaweza fanya hii kitu,ni mazingaombwe ya vijana mtandaoniKumekucha !!View attachment 2791632
Wewe mwanamke wewe!,hebu tulia izame kwanza ndio uanze kujibinuaUjinga ni kumpokea mtu ambaye yuko hapo hapo , yaani mtu anatokea Machinga Complex halafu unampokea Mnazi Mmoja !
Dua la kuku eti USA,nchi ya mashoga hiyo,sasa mambo yote USSRChama chenye katibu mwenezi mhalifu aliye na marufuku ya kuingia US kwa kosa la kudhulumu haki ya watu kuishi.
Mungu yule aliyemwondoa mamlakani wakati Lissu anarejea nchini yuu hai hata sasa. Waliomwokota Makonda wakifikiri hasira za Mwenyezi juu yake zinepoa wasubiri waone kilicholipata jeshi la Farao walipojaribu kupita pakavu pa bahari wakidhani bahari ilifunguliwa kwa ajili ya wao kuwamaliza wana wa Israel kumbe ilifunguliwa kwa minajili ya kuwatenga na farao milele kwa kulichinjia jeshi lake baharini.
Hiki ndicho kitakacho tokea kwa ccm.
Itunzeni msg yangu hii!
Tatizo uthibitisho na shauri mahakamani imeshindikana,wanasheria nguli mnao,kutunga shutuma mnajua fungueni jalada,acheni uhanithiHii nchi aisee, huyu alikuwa anaongoza magenge ya uhalifu, leo ni mtu mkubwa
Alishawahi kuthubutu kulala na mama yako nini? Mboni unampamba sana?Jamaa ana uthubutu Sana.
Nashukuru kwa matusi mazito mkuu.Alishawahi kuthubutu kulala na mama yako nini? Mboni unampamba sana?
One more thing, unasahau naweza kukutukania wazazi wako pia.Alishawahi kuthubutu kulala na mama yako nini? Mboni unampamba sana?
Huu ni upumbavuSafi sana angalau siasa zichangamke na akawachangamshe viongozi wa Serikali katika majukumu yao
Hiyo marufuku alipigwa kwa sababu ya kuuwa raia kwa matamanio yake.Katibu Mwenezi wa CCM ana Majukumu ya Kujenga Chama Tanzania na Kuimarisha Matawi yote ya Nje ya Nchi. Nakukumbusha tu kuwa Katazo la hao Mabeberu halina Maana yoyote kwa CCM wala kwake Paul.
Anaichapa kazi na Maisha yake yanakwenda vyema sana bila hilo Taifa la Marekani.
Wewe angalia Siasa ya Nchi! hayo ya Makatazo ni Mtambuka sana kwako Kaka, Utashangaa sana ukikuta vinginevyo na unavyofahamu.
Punguza makasiriko na Ukaribie kwenye viwanja vya Lumumba hapo Kesho umpokee Mwamba na Jemedari Paul Makonda.
Magu alikuja na ujinga wa kauli kama hizi akisaidiwa na kina makonda na sabaya na Jerry moro na musiba lakini kilichomkuta ni historia na sote tutaisimulia vizazi vyetu.Dua la kuku eti USA,nchi ya mashoga hiyo,sasa mambo yote USSR
Safi sana!Kumekucha !!View attachment 2791632
SenselessHiyo marufuku alipigwa kwa sababu ya kuuwa raia kwa matamanio yake.
Hasira yangu ipo hapo kwa mwenezi kuwa muuaji.
NB; sio akaunti yakeKumekucha !!View attachment 2791632
Hana akiliKumekucha !!View attachment 2791632