Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #21
Kuhusu mwenge wa uhuru, kuna maeneo watu huwaambii kitu!. Saa hizi hapa bush Dom jua ni kali ajabu na tena la utosi!. mote tunapopita watu wamejazana barabarani tangu asubuhi wakisubiri kuushangilia mwenge huku wengine wakishangilia kwa matawi ya mimea kama alivyokuwa akishangiliwa Mwana wa Adamu ile siku anaingia Yerusalemu!.
Wengine wanashangilia kwa kupunga mikono tuu!.
Ila pia naomba kukiri, sura za walio wengi ni destitute!, living in less than a $ a day!, yaani wanaishi katika umasikini uliotopea!.
Na kuna wachache unawaona na sura za usongo na hasira sijui kama ni dhidi ya zoezi au aliyewatia umasikini huu walio nao.
Wengine wanashangilia kwa kupunga mikono tuu!.
Ila pia naomba kukiri, sura za walio wengi ni destitute!, living in less than a $ a day!, yaani wanaishi katika umasikini uliotopea!.
Na kuna wachache unawaona na sura za usongo na hasira sijui kama ni dhidi ya zoezi au aliyewatia umasikini huu walio nao.