Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenge umeingia Kijiji cha Uhelela, hapa wamezindua mradi wa uvunaji mifugo na kumpongeza mfugaji tajiri Nduyuyaluha Lusendamila ana ng'ombe 370, mbuzi 76 na kondoo 57, ana wake 5 na wote wakiishi nyumba za tope zilizoezekwa kwa nyasi!.
Sasa amevuna mifugo yake, amejenga nyumba 6 za kisasa ya kwake na kila mke!. Amewanunulia kila mmoja gari la kutembelea na sasa ni mfanya biashara mkubwa anafikiria hadi kupunguza wake!.
Bob, ukiwa mkweli ni unakuwa mkweli tuu. Sisi watu wa Kanda ya Ziwa ni dhaifu kwenye type flani!, tena sio tuu tunahonga sana!, pia tunapenda sana!, hatuna roho mbaya, tuna utamaduni wa wake wengi!, watoto wetu wote wanaozaliwa na hao wake zetu, wote ni watoto wetu!, hatuhitaji DNA etc. Kwa kukuongezea tuu habari zangu, mimi ni father of 6 na one of then ni .5 anaishi na 1st wife US!. Nina wife pia Toronto na hapa Bongo na kote kuna watoto!.Hahahaha Pasco!! Nimecheka sana!
Kuhusu huyo nesi wengine kwa calibre yao wangekufa kijerumani! Wewe umeona uweke jukwaani wote tujue! Na madhaifu hayo wengi wanayo kimya kimya wewe umekiri kabisa!
Nimekuhamishia kundi jingine leo! Kwa heshima niliyokupa!
Arusha waliiba stuli ya mwenge kwaajili ya kwenywea bia kaunta sasa huko Dodoma wanapigia koroboi salute bado CDM wanakazi kubwa hapo Dodoma
Subiria!,Kufuru bado sijaona
Mkuu Tumaini Makene, kwanza heshima mbele. Pili nikupongeze na kuwapongeza Chadema kwa remakable improvements kwenye idara ya public information!. Hongereni sana!. Ni mwanzo mzuri ila bado!.Msimamo wa CHADEMA kuhusu Mwenge wa Uhuru uko very clear, si leo, wala si jana. Siku nyingi. Mwenge unastahili kuwekwa Makumhusho ya Taifa.
Mwenge huu wa uhuru, ambao ni moja ya nembo za taifa, kwa miaka ya karibuni, chini ya uongozi wa CCM, umepoteza kabisa maana nzuri au nia njema iliyokuwepo wakati wa Mwalimu Nyerere na serikali ya awamu ya kwanza.
Pasco, with all due respect, kwa heshima na hadhi yako unapaswa kusema ukweli au kuandika vitu ulivyo na uhakika navyo mkuu. Katika ratiba ya Mabaraza Huru ya Katiba Mpya yanayoendeshwa na CHADEMA, leo hakuna ratiba ya Dodoma mjini.
CHADEMA si zote imeendelea kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa vitendo. Si kwa kukimbiza Mwenge unaotumika kuibia na kunyanyasa wananchi. Wanamuenzi kwa kupigania haki, matumaini ya wananchi, kupiga vita ufisadi na ubadhirifu wa CCM na kutimiza 'ndoto' zake za kuona nchi hii inapata mabadiliko ya mfumo na utawala, nje ya CCM, kupitia chama alichowahi kukiri mwenyewe kuwa ndiyo chama makini, chenye sera, dira na mwelekeo sahihi kwa ajili ya Watanzania.
Hayo ya mgombea, ni kama vile hujaeleweka hasa ulitaka kumaanisha nini mkuu!
Mwenge umeingia Kijiji cha Uhelela, hapa wamezindua mradi wa uvunaji mifugo na kumpongeza mfugaji tajiri Nduyuyaluha Lusendamila ana ng'ombe 370, mbuzi 76 na kondoo 57, ana wake 5 na wote wakiishi nyumba za tope zilizoezekwa kwa nyasi!.
Sasa amevuna mifugo yake, amejenga nyumba 6 za kisasa ya kwake na kila mke!. Amewanunulia kila mmoja gari la kutembelea na sasa ni mfanya biashara mkubwa anafikiria hadi kupunguza wake!.
Mkuu Deshmo, Dr. Anatua leo saa 8 mchana na chopa ya Ndesa Pesa ambapo bado inaendelea kuitwa Helcopter ya Mbowe hata kama Mbowe hajatua nayo!.
Nitawashauri Chadema endapo watachukua nchi 2015 kutokana na makosa ya CCM kutomsimamisha yule mgombea, then serikali ya Chadema iwajibike kuendelea kumuenzi Baba wa Taifa kwa kuendeleza mbio za mwenge ila wauzungushe kwa helcopter!.
P.
Salva wa El yupo na ni member humu.Kwa vile EL, bado hajawa, huyo Salva wake, naye bado hajawa, let's not preempt hiyo kitu, tusubiri awe nitakutajia!.Kaka Pasco mgombea ameishaanza kuhundiwa zengwe nn? Mbona unajiahami mapema...Team EL mnawoga sana..by the way ulinihaidi kunambia salva wenu nani ila mpaka leo haujasema!
MkuuPasco, hebu jaribu kuleta post za maana, hizi habari za kibatari -mwaka 2013 ni utani usiokubalika!
Ndio hapo tunaposema Tundu Lissu anapoint kuhusu kuwachangisha wananchi masikini kuwa ni mwiko kama Halmashauri zinakusanya mapato yake in surplus na bado kuna fedha zingine zinarudishwa Hazina eti hazikutumika na mwaka wa fedha umeisha.Kwa kawaida sare zote hadi za harusi, wahusika huchanga. What if Halmashauri imekusanya surplus na wakaamua kutoa bones Kwa kununua matenge ya wax za kente ?.
Mbona kwenye avatar yako nakuona unauwasha?, mi mwezio chama kitakachoahidi kusitisha mbio za mwenge ndo ntakichaguaNchii bhana mie mpaka leo sielewi umuhimu wa mbio za mwenge licha ya kutumia pesa nyingi! Mambo ya kizamani kweli
oMkuu
FJM, Pasco wa jf ni mwandishi wa habari za kimaendeleo Kwa kujitolea. Miradi ya zaidi ya 1.2 billions imezinduliwa!. Hayo ndio maendeleo tunayoyazungumzia katika safari ya kuelekea kwenye maisha bora kwa kila Mtanzania. Mkiishaipa tena CCM term nyingine ya miaka 5 ya mwisho, maisha bora kwa kila Mtanzania yatapatikana, hivyo 2020, there will be no need to think otherwise!.
Mbio zimeingia Bahi mjini. Mji mzima umezizima kwa nderemo na vifijo!.
Bahi Sokoni wamezindua mradi wa mashine za kuvunia mpunga wenye thamani ya Milioni 14!. Vijana wa boda boda hawakuachwa nyuma, wameshushiwa milioni 2!. Funga kazi ni mradi wa nyumba za watumishi wa umma zenye thamani ya Shilingi milioni 540.
Jumla ya miradi yote zaidi ya Bilioni 1.2 kama bomba la gesi!. Tofauti ni kwenye bomba la gesi ni $ Bilioni 1.2 miradi ya Bahi ni Bilioni 1.2!. Hii sio kufuru?!.
Tukiioatia tena CCM another 5 years term!, itaigeuza Tanzania kuwa kama peponi!.
Sasa Mwenge umetua viwanja vya mkesha. Linafanyika bonge la pati!.
Ya usiku naomba nisiyaseme!.
Pasco
Mkuu
FJM, Pasco wa jf ni mwandishi wa habari za kimaendeleo Kwa kujitolea. Miradi ya zaidi ya 1.2 billions imezinduliwa!. Hayo ndio maendeleo tunayoyazungumzia katika safari ya kuelekea kwenye maisha bora kwa kila Mtanzania. Mkiishaipa tena CCM term nyingine ya miaka 5 ya mwisho, maisha bora kwa kila Mtanzania yatapatikana, hivyo 2020, there will be no need to think otherwise!.
Alikuja...Si uende kwa yule ukapige