Mapokezi ya Mwenge Dodoma: Wilaya ya Bahi yafanya Kufuru

Nitawashauri Chadema endapo watachukua nchi 2015 kutokana na makosa ya CCM kutomsimamisha yule mgombea, then serikali ya Chadema iwajibike kuendelea kumuenzi Baba wa Taifa kwa kuendeleza mbio za mwenge ila wauzungushe kwa helcopter!.
P.
Huu ushauri bado ni muhimu nyakati hizi ?
 
Leo humu jf kuna bandiko kuhusu Mwenge wa uhuru limepandishwa, hivyo nikajikumbusha enzi zangu za kukimbiza mwenge ndipo nikakutana na hii post ya Mkuu Tumaini Makene, nikaona nimsalimie tuu, na kumuulizia yuko wapi siku hizi amekuwa kimya sana na jee bado anaamini na kusimama na haya aliyo yaandika humu?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…