Mapokezi ya Rais akitokea Marekani kwenye UNGA ni ufujaji wa kodi za walalahoi

Mapokezi ya Rais akitokea Marekani kwenye UNGA ni ufujaji wa kodi za walalahoi

Kuna shida gani kumpokea mtu aliyetoka safari ya mbali mtu mwenyewe ni Rais wa nchi....mambo mengine siyo vibaya kupotezea mkuu wangu.
Muda muhimu ndugu, uzurulaji unadumaza nchi huku CCM wanaongoza kwenye kundi la watu wanaopenda kuzurula Afrika Mashariki na Kati.
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Pesa ilifichwa sasa ivi wanatengeneza fursa za upigaji tu
 
Hapo wanatafuta gea ya kumlewesha mama na pombe ya masifa ili wajihakikishie mambo yao ila jambo jema ni vile wazanzibari huwa hawalewi kwa sifa.
 
Sio issue ya taswira hasi. Huyo huyo unaesema ana huruma mbona ameruhusu Mbowe amebambikiwa kesi ya uongo?
Mnatuchosha sasa na kesi yenu ya Mbowe. Kila kitu Mbowe. Hiyo kitu iko mahakamani mbivu na mbichi zitajulikana tu.
 
Acha wivu wa kijinga, kama Simba, Yanga, Mwakinyo, Diamond na yule mgonjwa wa Ubelgiji huwa wanapokelewa why isiwe Rais ambaye ni nembo ya Taifa? Kuna watu wamekaa kupinga pinga tu kila kitu
 
Hapo wanatafuta gea ya kumlewesha mama na pombe ya masifa ili wajihakikishie mambo yao ila jambo jema ni vile wazanzibari huwa hawalewi kwa sifa.
Kujikomba komba kwingi serikali inaongozwa na machawa.
 
Acha wivu wa kijinga, kama Simba, Yanga, Mwakinyo, Diamond na yule mgonjwa wa Ubelgiji huwa wanapokelewa why isiwe Rais ambaye ni nembo ya Taifa? Kuna watu wamekaa kupinga pinga tu kila kitu
Wanapokelewa kwa gharama ya nani hiyo ndio hoja ya msingi mzee. Shida sio kupokelewa. Hata wewe mbona ukirudi kutoka kazini unapokelewa na mumeo na wanao na hamna shida!
 
Sio issue ya taswira hasi. Huyo huyo unaesema ana huruma mbona ameruhusu Mbowe amebambikiwa kesi ya uongo?
Rais hahusiki 100% na kesi zilizoko mahakamani......

Huyohuyo ndiye aliyewaambia POLISI WASIONEE RAIA....

Huyohuyo ndiye aliyesema KESI ZISIZO NA MAANA ZIFUTWE.....

Huyohuyo ndiye aliyemteua Dr.Eliezer Feleshi....muda UTAONGEA.....
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Hotuba gani ya kishajaa? Au zilikuwa mbili? Tanzania tuna mambo mengi ya kufanya jamani. Do not misuse the little resources we are gathering with tears.
 
yaani watu tunawaza Derby ya Kariakoo mnatuletea huu upuuzi? hebu kuweni siriaz basi hata kama akili zenu ni ndogo.
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669

Kazi ya tozo
 
Mkuu mbona hizo bilioni 60 zimeshatengwa kaka....

Tusiandikie mate muda UTAONGEA....

#SiempreJMT
#NakupendaTanzaniaNchiYaAmaniNaTulivuKulikoZoteAfrika
Wewe upo Lumumba unasema zimeshatengwa. Sisi tuliopo shambani hizi ahadi tumekuwa tukizishuhudia tangu miaka ya 1980.
Maneno matupu,vitendo hamna.
Endelea kujitoa akili ili choo kiendelee kutumika.
 
Rais hahusiki 100% na kesi zilizoko mahakamani......

Huyohuyo ndiye aliyewaambia POLISI WASIONEE RAIA....

Huyohuyo ndiye aliyesema KESI ZISIZO NA MAANA ZIFUTWE.....

Huyohuyo ndiye aliyemteua Dr.Eliezer Feleshi....muda UTAONGEA.....

Kama ni hivyo basi nchi iko kwenye fragmentation state. Hakuna coordination, kwa hiyo kila mtu anajiamulia kufanya anachoaka bila kugundulika, hakkkuna mfumo wa ufuatiliaji wa utendaji wa wateule, kitu ambacho naweza kukiamini iwapo tu utazidi kusema rais hajui kinachoendelea katika ofisi za serikali.

Hoja,
1.Unajua madhara ya wtu kukaa bila serikali ua kuwa na serikali isiyokuwa na kiongozi?

2. Kabla ya hapo, unachotaka kusema nikwamb serikali ni kubwa mno kwa mama, hawezi kuiongoza na ndiyo sababu amewaachiwa wateule wako wafanye bile watakavyo kwa kuw ahana namna ya kudhibiti wala kujua kile wafanyacho?

3. Kwa hizo habari, nani sasa ni kiongozi wa serikali ya nchi kama haiko fragmented?
 
Back
Top Bottom