Mapokezi ya Rais akitokea Marekani kwenye UNGA ni ufujaji wa kodi za walalahoi

Mapokezi ya Rais akitokea Marekani kwenye UNGA ni ufujaji wa kodi za walalahoi

Ikohivi... Ukimsifu mtu kwatuvitu tudoogo hatohangaika kuwaza name kufanya makubwa!! Wapumbafu hilo huwa hawalioni
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Kwa hiyo hutaki tumpokee na kumpongeza Rais wetu au?

Ulitaka apokelewe baba yako au? Pumbavu,haters mtakufa kwa pressure bure..

Mda uliotumia kuandika upupu ungetumia kutafuta pesa usingekuja na malalamiko ya kipumbavu hapa.
 
Ukiona harakati za namna hii, ujue kuna jambo kiuongozi haliko sawa. Hivyo kuna makundi ya watu wanahangaika/wanalazimika kumtia moyo mama hata pale anapoharibu au ameshindwa kufikia matarajio ya Watanzania walio wengi
Matarajio kama yapi? Haya hapa chini ni matarajio ya mbupu zako? 👇

Screenshot_20210923-230427.png


Screenshot_20210923-230515.png


Screenshot_20210923-135442.png


Screenshot_20210923-102207.png


Screenshot_20210922-075910.png


Screenshot_20210922-075612.png


Screenshot_20210922-074919.png


Screenshot_20210922-074850.png


Screenshot_20210921-140042.png


Screenshot_20210921-102138.png


Screenshot_20210920-152209.png


Screenshot_20210920-151258.png


Screenshot_20210920-073250.png


Screenshot_20210920-072244.png


Screenshot_20210920-072332.png


Screenshot_20210920-072100.png


Screenshot_20210920-071756.png


Screenshot_20210920-071214.png
 
Kama ni hivyo basi nchi iko kwenye fragmentation state. Hakuna coordination, kwa hiyo kila mtu anajiamulia kufanya anachoaka bila kugundulika, hakkkuna mfumo wa ufuatiliaji wa utendaji wa wateule, kitu ambacho naweza kukiamini iwapo tu utazidi kusema rais hajui kinachoendelea katika ofisi za serikali.

Hoja,
1.Unajua madhara ya wtu kukaa bila serikali ua kuwa na serikali isiyokuwa na kiongozi?

2. Kabla ya hapo, unachotaka kusema nikwamb serikali ni kubwa mno kwa mama, hawezi kuiongoza na ndiyo sababu amewaachiwa wateule wako wafanye bile watakavyo kwa kuw ahana namna ya kudhibiti wala kujua kile wafanyacho?

3. Kwa hizo habari, nani sasa ni kiongozi wa serikali ya nchi kama haiko fragmented?
Kila siku mnahubiri mihimili ya nchi ISIINGILIANE.....

Unataka mh.Rais AUINGILIE MUHIMILI WA MAHAKAMA VILE UPENDAVYO?!!!

SIEMPRE JMT
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Wapigaji kwa sasa wanapata kirahisi fulsa kupiga hela ya umma. Kama wanathubutu waseme hela ngapi wanatumia kwa huu ujinga eti mapokezi ya mama toka UN. Nyerere mwenyewe kutoka uno kutudaia uhuru tulimpokea kwa matawi ya miti walala hoi wakaonyesha furaha sio mtu kaenda eti kuonesha yeye ndio rais mpya mwanamke tz mnataka kupiga hela kumpamba uongo.
 
Wewe upo Lumumba unasema zimeshatengwa. Sisi tuliopo shambani hizi ahadi tumekuwa tukizishuhudia tangu miaka ya 1980.
Maneno matupu,vitendo hamna.
Endelea kujitoa akili ili choo kiendelee kutumika.
Mkuu umejawa hisia sana...

Uwepo wangu Lumumba unaniondoa vipi nisiyajue maisha ya vijijini?!! Khaaa 😲🤣
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Wewe ndondocha gharama umeona zipo wapi???
 
Kwa spidi hii tutarajie siku moja kutakuwa na pongezi ya Mheshimiwa kutoa ushuzi wenye sauti maridhawa. Maana kila kitu kimekuwa tukio la kitaifa.
 
Back
Top Bottom