Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Hakuna mtu atamfika mama,sasa wamebaki kuweweseka mara tulifanya bila tozo mara sijui nini, yaani bure kabisa hao nguruwe..Ndani ya muda mfupi AMEAJIRI vijana zaidi ya 8000 kupitia TAMISEMI +WIZARA YA AFYA....baada ya kupita miaka 6 bila ya AJIRA NYINGI......
#SiempreJMT
Huyu mswahili akipambwa hivyo kichwa inapata moto snaHii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Anauza sura tuYaani hawa CCM akili zao kisoda hawana hata maana! Hivi huko UN unafikiri kuna cha bure? Bila kuwa na kiongozi mwenye matendo na kuachana na maneno na kwenda kujilizaliza huko! Hakuna cha bure mtaendelea kuzurura kama Kikwete! Na kuiacha nchi ikiibiwa tu!
Aibu itawafika.....Hakuna mtu atamfika mama,sasa wamebaki kuweweseka mara tulifanya bila tozo mara sijui nini, yaani bure kabisa hao nguruwe..
Yote yanaenda bila kutukana,kudhalilisha,kuteka wala kupora watu fedha,,hadi 2025 Maza atawaaibisha wapuuzi wote
Mswahili ni mwenye kuongea lugha ya kiswahili....huko kwenu babati mnaongea KIARABU NA KIHABESHI eeee?!!🤣Huyu mswahili akipambwa hivyo kichwa inapata moto sna
Anauza sura tu
Ni mswahili mwenzakoMswahili ni mwenye kuongea lugha ya kiswahili....huko kwenu babati mnaongea KIARABU NA KIHABESHI eeee?!!🤣
Akili kimsukule kama hizi haziwezi kulitoa Taifa hapa lilipo hawa ccm sijui huwa wanawaza kwa kutumia nini????eti hotuba ya kishujaa inayoongelea kupewa dawa za chanjo zaidi huku wananchi wake wakisusia chanjo maajabu haya.
Mimi ni mswahili kwani ninaongea lugha hiyo....bora yako mzungu unayeandika hapa kwa lugha yetu....Ni mswahili mwenzako
Tetetete nini cha maana anafanya sasa zaidi ya kuchezea mali ya umma?
PoaMimi ni mswahili kwani ninaongea lugha hiyo....bora yako mzungu unayeandika hapa kwa lugha yetu....
Tetetete nini cha maana anafanya sasa zaidi ya kuchezea mali ya umma?
Subiri Lema ajeDuh 🙄 nadhani tunahitaji Katiba mpya haraka sana.
Sawa, alitoa mfukoni mwake
Huwezi kujuaTetetete nini cha maana anafanya sasa zaidi ya kuchezea mali ya umma?
Angeitwa Ikulu ya Marekani nadhani tungepigwa maweAkili kimsukule kama hizi haziwezi kulitoa Taifa hapa lilipo hawa ccm sijui huwa wanawaza kwa kutumia nini????eti hotuba ya kishujaa inayoongelea kupewa dawa za chanjo zaidi huku wananchi wake wakisusia chanjo maajabu haya.
Sawa mkuuHuwezi kujua
Upeo wako ni kimo cha panya