Mapokezi ya Rais Samia Kanda ya Ziwa yameanza kutoa picha namna uchaguzi 2025 utakavyokuwa

Mapokezi ya Rais Samia Kanda ya Ziwa yameanza kutoa picha namna uchaguzi 2025 utakavyokuwa

Mkuu hata sura yake ina matatizo JK ni handsome
Jibu swali,hauziki kulinganisha na nani? Kama sura hii iliuzika sembuse ya beautiful SSH?👇
 

Attachments

  • 2952061_JamiiForums569115795.jpg
    2952061_JamiiForums569115795.jpg
    21.5 KB · Views: 7
Yaani uchukue picha ya kongomano la nyumba ni choo la Mrisho Mpoto then udiliki kusema ni picha iliyopigwa kwenye halaiki ya rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Kwa hiyo 'wasukuma' wote ni mali yako, utawatumia kama utakavyo wewe mwenyewe?

Fikra za kipuuzi kama hizi muwe wakati mwingine mkiona aibu kuziweka hadharani, zinawafanya kuonekana kama machizi!
Ni mali yetu ukoo wa Bukumbi hutaki meza wembe tunawaendesha sisi
 
Nimeona kidogo Mheshimiwa yuko na Tajiri wa Superdoll wako kiwanda cha sukari Kagera. Hivi ilikuwa ziara ya kuzindua mtambo mya wa sukari au naomba aliyefuatilia aniabarishe zaidi.

Halafu nikasikia kidogo Tutawalinda wawekezaji wa ndani sijui . Wjats was the main issue ya yeye kwenda kagera sugar ndio swali langu
 
Nimeona kwa macho yangu Bwanga amepokelewa na watoto wa shule, wanaCCM kiduchu.

Kuna hasira ya kuwa sasa amefeli kudhibiti ugumu wa maisha kwa wananchi wa kawaida.

Kuna kisasi kitachomuandama kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 2254641
Nawaona watuwazima ndiowengi yeye ajipange juu yamazila tuliofanyiwa wavuvi nikundi kubwa liliumizwa kimakusudi
 
Back
Top Bottom