The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Jibu swali,hauziki kulinganisha na nani? Kama sura hii iliuzika sembuse ya beautiful SSH?👇Mkuu hata sura yake ina matatizo JK ni handsome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali,hauziki kulinganisha na nani? Kama sura hii iliuzika sembuse ya beautiful SSH?👇Mkuu hata sura yake ina matatizo JK ni handsome
Jibu swali,hauziki kulinganisha na nani? Kama sura hii iliuzika sembuse ya beautiful SSH?👇
Hayo maneno! Alijisemea marehemu Dr. Omar Ali Juma .... hatuwezi kutoa dola kwa vijikaratasi vya kura...Kwani Ni lini CCM iliwahi kutegemea uchaguzi kukamata Dola?Kazi iendelee.
Ni mali yetu ukoo wa Bukumbi hutaki meza wembe tunawaendesha sisiKwa hiyo 'wasukuma' wote ni mali yako, utawatumia kama utakavyo wewe mwenyewe?
Fikra za kipuuzi kama hizi muwe wakati mwingine mkiona aibu kuziweka hadharani, zinawafanya kuonekana kama machizi!
Nawaona watuwazima ndiowengi yeye ajipange juu yamazila tuliofanyiwa wavuvi nikundi kubwa liliumizwa kimakusudiNimeona kwa macho yangu Bwanga amepokelewa na watoto wa shule, wanaCCM kiduchu.
Kuna hasira ya kuwa sasa amefeli kudhibiti ugumu wa maisha kwa wananchi wa kawaida.
Kuna kisasi kitachomuandama kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 2254641
Nyie Machifu ndio maana Kikwete anawakataa....Hatuna kisasi naye, in fact tunampenda sana.
Sisi hatuwataki CHADEMA, ni wadini na wakabila sana.