Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unawezaji kutumia dola kupambana na unyoya?Unafanya siasa nyepesi sana ndio maana tunasema upinzani ni mwepesi kuliko unyoya.
Ndio hivyo tena , yamesiginwaSioni ubaya wa mabango hayo kuwepo kwenye mapokezi ya Yanga, mama ametoa hamasa sana kwa Yanga katika mashindano haya, kwa hili amestahili pongezi.
Mkuu, unaisoma wapi hiyo ya mwanapunda kupondwapondwa?Umati ndivyo ulivyo, kila kitu hupondwapondwa. Yesu alipoingia Yerusalem na mwanapunda yule mwanapunda alipondwapondwa.
Rudi vidudu aeiou. Umati ndivyo ulivyo. Kua mwanagu kua, kua uyaoneMkuu, unaisoma wapi hiyo ya mwanapunda kupondwapondwa?
PichaPamoja na huhudi kubwa za Mamluki walioingilia mapokezi ya Yanga kuchomekea mabango yenye Picha za Samia Suluhu (Haifahamiki Malengo yao) lakini kutokana na Wingi wa Watu kwenye eneo la Uwanja wa ndege, mabango hayo yameishia kupuuzwa na kukanyagwa na wananchi waliojazana uwanjani hapo.
Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.
Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?
Salary Slip, UNA AKILI KUBWA! UMEMJIBU JIBU LA CENTURYUnawezaji kutumia dola kupambana na unyoya?
Acha porojo, weka andiko hapa.Rudi vidudu aeiou. Umati ndivyo ulivyo. Kua mwanagu kua, kua uyaone
CHADOMO MNA VISA SANA BANGO GANI LILILOKANYAGWA?, MAFANIKIO HAYA YA KIHISTORIA YAMECHAGIZWA NA RAIS WETU DR. SSH KWA 100%.Pamoja na huhudi kubwa za Mamluki walioingilia mapokezi ya Yanga kuchomekea mabango yenye Picha za Samia Suluhu (Haifahamiki Malengo yao) lakini kutokana na Wingi wa Watu kwenye eneo la Uwanja wa ndege, mabango hayo yameishia kupuuzwa na kukanyagwa na wananchi waliojazana uwanjani hapo.
Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.
Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?
Tafakari.......Tukiweka maandishi yako kwenye mabano, automatically utayaona yanageuka na kusema.....Unafanya siasa nyepesi sana ndio maana tunasema upinzani ni mwepesi kuliko unyoya.
Hii aliyekusimulia alikudanganyaUmati ndivyo ulivyo, kila kitu hupondwapondwa. Yesu alipoingia Yerusalem na mwanapunda yule mwanapunda alipondwapondwa.