Mapokezi ya Yanga: Mabango yenye picha ya Rais Samia yapuuzwa, yakanyagwa

Mapokezi ya Yanga: Mabango yenye picha ya Rais Samia yapuuzwa, yakanyagwa

Pamoja na juhudi kubwa za Mamluki walioingilia mapokezi ya Yanga kuchomekea mabango yenye Picha za Samia Suluhu (Haifahamiki Malengo yao) lakini kutokana na Wingi wa Watu kwenye eneo la Uwanja wa ndege, mabango hayo yameishia kupuuzwa na kukanyagwa na wananchi waliojazana uwanjani hapo.

Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.

Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?
unajua kwanini huu uzi wako umepuuzwa? Mbwa kenge we, huu uzushi wa kisenge mpelekee mamako aliyezaa mwendawazimu km wewe
 
unajua kwanini huu uzi wako umepuuzwa? Mbwa kenge we, huu uzushi wa kisenge mpelekee mamako aliyezaa mwendawazimu km wewe
Kwi Kwi Kwi
Dawa ya uzushi ni wewe kuweka bango ambalo halikupuuzwa na kukanyagwa , au labda useme yalikanyagwa kwa sababu ya msukumano
 
Back
Top Bottom