SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
[✓]Dr.Chifu.Amri Jeshi.😀😀
Mama Samia Oyeee
Yanga Oyeee
CCM oyeee!
[✓] Tanzania Oyee
[✓] Kidumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[✓]Dr.Chifu.Amri Jeshi.😀😀
Mama Samia Oyeee
Yanga Oyeee
CCM oyeee!
Alafu ndio anajiona think tank wa chadema. 😂😂Unafanya siasa nyepesi sana ndio maana tunasema upinzani ni mwepesi kuliko unyoya.
Atakuja na bonge la thread la kusifia jinsi gani Samia kasaisldia yanga kuchukua nafasi ya pili🤣🤣Lucas Mwashambwa.....
To the rescue please!
Umeona sasa mshamba mwenzangu Erythrocyte , umeyataka mwenyeweUnafanya siasa nyepesi sana ndio maana tunasema upinzani ni mwepesi kuliko unyoya.
SIASA KWENYE MPIRA HAIKUBALIKI FIFA HAITAKI UJINGA HUOPamoja na juhudi kubwa za Mamluki walioingilia mapokezi ya Yanga kuchomekea mabango yenye Picha za Samia Suluhu (Haifahamiki Malengo yao) lakini kutokana na Wingi wa Watu kwenye eneo la Uwanja wa ndege, mabango hayo yameishia kupuuzwa na kukanyagwa na wananchi waliojazana uwanjani hapo.
Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.
Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?
Acheni lawama zisizo na msingi.Mama asilete siasa kwenye mpira
Hela zake mbona hamjakataa wazee...!!! Acheni utoto..sasa wanapokelewa yanga picha za samiya za nini
Ajabu kweli.hayo maandiko sijui kayatoa wapi?Mkuu, unaisoma wapi hiyo ya mwanapunda kupondwapondwa?
Sasa hii ndiyo akili halisi ya mtanzania. Fuvu bovu Kama lako hata kuku anakuongoza bila kupata shangamoto yoyotebora hayo yamekanyagwa... Yenye picha ya mbowe lissu na lema yalikojolewa yakapata mimba ya upinde
shangamoto iwe na shangabaridiSasa hii ndiyo akili halisi ya mtanzania. Fuvu bovu Kama lako hata kuku anakuongoza bila kupata shangamoto yoyote
Na hili la jana laweza kuwa fundisho kwa siku za usoniSIASA KWENYE MPIRA HAIKUBALIKI FIFA HAITAKI UJINGA HUO
UongoSioni ubaya wa mabango hayo kuwepo kwenye mapokezi ya Yanga, mama ametoa hamasa sana kwa Yanga katika mashindano haya, kwa hili amestahili pongezi.
Kuingia uwanjani na kofia ya chama cha siasa ni kuleta siasa michezoni??Mama asilete siasa kwenye mpira
[emoji38][emoji38][emoji38]Mpaka hapo upinzani nao waende na timu zingine ndipo atajua hajui,
Toka mwanzo yalisemwa ke mambo makubwa kuyamudu tutakwama mahali.
Siyo muda tutaambiwa ajira serikalini mpk uwe na kadi ya hiyo timu. Na maofisin tuvae jezi zao
Video yakikanyagwaPamoja na juhudi kubwa za Mamluki walioingilia mapokezi ya Yanga kuchomekea mabango yenye Picha za Samia Suluhu (Haifahamiki Malengo yao) lakini kutokana na Wingi wa Watu kwenye eneo la Uwanja wa ndege, mabango hayo yameishia kupuuzwa na kukanyagwa na wananchi waliojazana uwanjani hapo.
Wala hakuna aliyeyaokota baada ya kukanyagwa.
Unadhani kwanini wananchi wamepuuza huu ujinga wa Mabango?