Baadhi ya ngoma walizo piga hao maproducer ni pamoja na.
1. Sister ya Gk
2. Tunakukumbuka ya Gk
3. Kamanda ya daznundaz
4.barua ya daznunda
5. Zari la mental ya prof jay
6.swahiba ya jebby na afande
7.kioo cha jamii ya afande sele
8.elimu dunia ya dazbaba
9.umbo namba nane ya daz baba na fid q.
10. She got agwan ya mangwea
11. Zeze ya top in dar
12. Mapoz ya mr blue.
13. perfume ya josline.
Nakumbuka hizo tu.
Pia nyimbo hizo kwa zamani zilionekana hazina maadili lakini maudhui yake ni makubwa na ukizisikia utaamini kwa sasa hakuna mziki.
Maoni yangu.
Sent using
Jamii Forums mobile app