Maproducer bora wa muziki kwa wakati wote, achana na wa kizazi hiki

Maproducer bora wa muziki kwa wakati wote, achana na wa kizazi hiki

Baadhi ya ngoma walizo piga hao maproducer ni pamoja na.
1. Sister ya Gk
2. Tunakukumbuka ya Gk
3. Kamanda ya daznundaz
4.barua ya daznunda
5. Zari la mental ya prof jay
6.swahiba ya jebby na afande
7.kioo cha jamii ya afande sele
8.elimu dunia ya dazbaba
9.umbo namba nane ya daz baba na fid q.
10. She got agwan ya mangwea
11. Zeze ya top in dar
12. Mapoz ya mr blue.
13. perfume ya josline.

Nakumbuka hizo tu.

Pia nyimbo hizo kwa zamani zilionekana hazina maadili lakini maudhui yake ni makubwa na ukizisikia utaamini kwa sasa hakuna mziki.

Maoni yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
madini na nusu
 
Baada ya miaka 10 pia tutakuja kuwasifu hawa wa sasa tunaowaponda,huku tukiwaponda wataokuja.
hakuna aliewaponda, kila zama zina watu wake, hiyo list kwa hawa wa sasa wanaonekana kama hawajui au teknolojia imewaacha, ni zamu ya hawa wa sasa, ila bila hao wa zamani hawa wa sasa wasingepata njia
 
Nimesikitika sana kutoona Jina la mkali wao Dunga wa mandugu Digital.
Dunga kagonga ngoma kali sana kama vile:

Chai - TmK ya Akina Nature
Kazi ipo - Wanaume ya kina chegge ft Chilla
Nipeni deal deal - Ngwair
Nipe mimi - Temba
Ngoma kibao za Joh makini.
N.k

~I moved your cheese! So what?~
Dunga pia yupo kwenye list
 
Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.

Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.

John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba

Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali

nk

Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.
List ya Producers kama haina Enrico wa Sound crafters hiyo ni fekero!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila zamani walikuwa wapo vizuri,nyimbo moja ina tengenezwa na vichwa zaidi ya vitatu mf kwa Majani kulikuwa na akina Lamar,Duke,Prof Ludigo,Soggy Dog Hunter mwisho Majani naye anaongezea ujanja wake na kufainalize kabisa.

Siku hizi producer mmoja anamaliza kila kitu,ndio maana wanawahi kuchuja na mwisho wa siku wanaishiwa.
 
Lamar ameshakuwa mama lishe , ana mgahawa wake , na pia ana yard ya kuoshea magar (car wash) , mambo ya mziki ni kama ashayaweka pembeni
Kwa mujibu wao wanadai uproducer haulipi zaidi ya kuwa maarufu tu.
 
Ila zamani walikuwa wapo vizuri,nyimbo moja ina tengenezwa na vichwa zaidi ya vitatu mf kwa Majani kulikuwa na akina Lamar,Duke,Prof Ludigo,Soggy Dog Hunter mwisho Majani naye anaongezea ujanja wake na kufainalize kabisa.

Siku hizi producer mmoja anamaliza kila kitu,ndio maana wanawahi kuchuja na mwisho wa siku wanaishiwa.
wanajiita multitasking, mazombie
 
amba yuko juu ya master j? au sababu ya naipenda hip hopp

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
KGT G records
Man water Combination sounds
Amber
Said Comorien
Mika Mwamba.
Majani
Dunga.

Etc.
Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.

Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.

John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba

Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali

nk

Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
amba yuko juu ya master j? au sababu ya naipenda hip hopp

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
hiyo ni list tu imepangwa na haijazingatia nani wa kwanza na nani wa pili, take it easy
 
Back
Top Bottom