Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa, kuna baadhi ya maproducer wanaharibu muziki wetu na hivyo kusababisha oversaturation ya muziki wetu kwa ujumla. Hii inapelelea hata mimi kuanza kuventure kwenye audio post production, live sound setup na sio kutegemea production ya muzikihamsahuriki fanyeni mnachoona kwenu ni sawa
THE GENERATION OF BEATMAKERS THAN PRODUCERS😀😀😀😀😀😀😀Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.
Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.
John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba
Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali
nk
Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.
nilishangaa anamuachaje prof ludigoOngezea na Prof Ludigo, Man Walter, Kameta, Bon Luv.
naongeza na hziNimesikitika sana kutoona Jina la mkali wao Dunga wa mandugu Digital.
Dunga kagonga ngoma kali sana kama vile:
Chai - TmK ya Akina Nature
Kazi ipo - Wanaume ya kina chegge ft Chilla
Nipeni deal deal - Ngwair
Nipe mimi - Temba
Ngoma kibao za Joh makini.
N.k
~I moved your cheese! So what?~
fundi samweli unamuachajeWakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.
Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.
John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba
Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali
nk
Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.
Lamar ameshakuwa mama lishe , ana mgahawa wake , na pia ana yard ya kuoshea magar (car wash) , mambo ya mziki ni kama ashayaweka pembeni
noma nomaNaongeza.
Enrico - Serena alicom, nyimbo za q chila - ulinikataa. Nk
Bon love - Mabinti dam dam, bush party solid ground.
Produder Roy wa G records - vailet matonya, mpenzi gita, blue,mapozi mr blue, baridi enika, Maria ab skills, mimi na wewe ab skills, ice cream noora nk.
Huyu marehemu yupo kwenye top 5 ya producer bora tz.
Amit mento - vituko uswahili suma g.
Kameta - nyimbo za mr nice kuku kapanda baskeli.
Said comoroen.
Ishia hapo hapo mkuu... Watengwa 👊🏾! Sikulifikiria hilo! Daz must be there, nafuta kauliUmeanza kumfahamu DAZ lini..?, ulishasikiliza albam za Watengwa ngapi..?
Ahahahah sure... Dah, umenikumbusha maisha ya kipindi flani nilipokuwa arusha... NomaHahahahaha Muhuni hazeeki