madini na nusuBaadhi ya ngoma walizo piga hao maproducer ni pamoja na.
1. Sister ya Gk
2. Tunakukumbuka ya Gk
3. Kamanda ya daznundaz
4.barua ya daznunda
5. Zari la mental ya prof jay
6.swahiba ya jebby na afande
7.kioo cha jamii ya afande sele
8.elimu dunia ya dazbaba
9.umbo namba nane ya daz baba na fid q.
10. She got agwan ya mangwea
11. Zeze ya top in dar
12. Mapoz ya mr blue.
13. perfume ya josline.
Nakumbuka hizo tu.
Pia nyimbo hizo kwa zamani zilionekana hazina maadili lakini maudhui yake ni makubwa na ukizisikia utaamini kwa sasa hakuna mziki.
Maoni yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna aliewaponda, kila zama zina watu wake, hiyo list kwa hawa wa sasa wanaonekana kama hawajui au teknolojia imewaacha, ni zamu ya hawa wa sasa, ila bila hao wa zamani hawa wa sasa wasingepata njiaBaada ya miaka 10 pia tutakuja kuwasifu hawa wa sasa tunaowaponda,huku tukiwaponda wataokuja.
Dunga pia yupo kwenye listNimesikitika sana kutoona Jina la mkali wao Dunga wa mandugu Digital.
Dunga kagonga ngoma kali sana kama vile:
Chai - TmK ya Akina Nature
Kazi ipo - Wanaume ya kina chegge ft Chilla
Nipeni deal deal - Ngwair
Nipe mimi - Temba
Ngoma kibao za Joh makini.
N.k
~I moved your cheese! So what?~
List ya Producers kama haina Enrico wa Sound crafters hiyo ni fekero!!Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.
Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.
John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba
Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali
nk
Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.
Lamar ameshakuwa mama lishe , ana mgahawa wake , na pia ana yard ya kuoshea magar (car wash) , mambo ya mziki ni kama ashayaweka pembeniyule dogo wa fishcrap Lamar yupo wapi siku hizi?!
na hitmaker ya "sumu ya penzi"' Triss...
Kwa mujibu wao wanadai uproducer haulipi zaidi ya kuwa maarufu tu.Lamar ameshakuwa mama lishe , ana mgahawa wake , na pia ana yard ya kuoshea magar (car wash) , mambo ya mziki ni kama ashayaweka pembeni
Anauza misosi & birianyule dogo wa fishcrap Lamar yupo wapi siku hizi?!
na hitmaker ya "sumu ya penzi"' Triss...
weka yako ambayo sio fekeroList ya Producers kama haina Enrico wa Sound crafters hiyo ni fekero!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wanajiita multitasking, mazombieIla zamani walikuwa wapo vizuri,nyimbo moja ina tengenezwa na vichwa zaidi ya vitatu mf kwa Majani kulikuwa na akina Lamar,Duke,Prof Ludigo,Soggy Dog Hunter mwisho Majani naye anaongezea ujanja wake na kufainalize kabisa.
Siku hizi producer mmoja anamaliza kila kitu,ndio maana wanawahi kuchuja na mwisho wa siku wanaishiwa.
Hiyo ametengeneza Prod Jonas. Kwenye List hapo hayupo.
Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.
Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.
John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba
Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali
nk
Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.
nomaKGT G records
Man water Combination sounds
Amber
Said Comorien
Mika Mwamba.
Majani
Dunga.
Etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
sana ,nikimuona TUDD mtaani nashawishika kuaminiunahisi kuna ukweli..?
Nikiangalia naona ni kweli.unahisi kuna ukweli..?