mayowela JF-Expert Member Joined Nov 2, 2014 Posts 2,125 Reaction score 1,753 Apr 8, 2020 Thread starter #61 Mzee Wa Kale Kabisa said: Ahahahah sure... Dah, umenikumbusha maisha ya kipindi flani nilipokuwa arusha... Noma Click to expand... yule jamaa anajua na movement zake nazikubali, BACK2SUA Ni bonge moja la idea, pia alishawahi fanya SUA BACK2MWANZA 2012 huko ilikuwa poa sana
Mzee Wa Kale Kabisa said: Ahahahah sure... Dah, umenikumbusha maisha ya kipindi flani nilipokuwa arusha... Noma Click to expand... yule jamaa anajua na movement zake nazikubali, BACK2SUA Ni bonge moja la idea, pia alishawahi fanya SUA BACK2MWANZA 2012 huko ilikuwa poa sana
Mzee Wa Kale Kabisa JF-Expert Member Joined Mar 25, 2018 Posts 2,621 Reaction score 4,322 Apr 8, 2020 #62 mayowela said: yule jamaa anajua na movement zake nazikubali, BACK2SUA Ni bonge moja la idea, pia alishawahi fanya SUA BACK2MWANZA 2012 huko ilikuwa poa sana Click to expand... Sure, ile ya SUA ilitisha sana mkuu! Utengwaji palitisha watu walikuwa wanatoka dar kuja kwa event za sua
mayowela said: yule jamaa anajua na movement zake nazikubali, BACK2SUA Ni bonge moja la idea, pia alishawahi fanya SUA BACK2MWANZA 2012 huko ilikuwa poa sana Click to expand... Sure, ile ya SUA ilitisha sana mkuu! Utengwaji palitisha watu walikuwa wanatoka dar kuja kwa event za sua
koncho77 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 7,789 Reaction score 10,388 Jul 10, 2020 #63 Kidbway kuna ngoma alimtengenezea Hussein Machozi ilikuwa kali kinyama