Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

Hahahha Taifa Stars hiyo ni sawa na mimba utaambiwa imetoka ina miezi 6.
KOCHA AFANYIE KAZI YAFUATAYO:

1. Aachane kabisa na lile soka tulilocheza ugenini kule cape verde la kupaki basi

2. Ashambulie mwanzo mwisho na amiliki mpira muda wote ili kumyima adui mwanya wa kutuangamiza.

3. Wacheze pasi ndefu za chini chini lakini wakijiloga kucheza mipira ya juu wameumia maana majamaa ni marefu sana na nimesikia kuwa wameapa bora wafie uwanjani mbele ya mashabiki wao kuliko kufungwa.

4. Apunguze kumwamini sana SAMATTA na kumwogopa kwani mara nyingine hata kikosi anapanga yeye na kuwapendelea marafiki zake ambao viwango vyao vimeshaashuka ili kuwarudisha kwenye chati kama akina ULIMWENGU.

5. Wasikate tamaa mbele ya kelele za mashabiki wao amabao watakuwa wengi sana hata kama wakiwa wakwanza kufunga, wapambane na kurudisha bao hilo na kuongeza ushindi.

BAADA YA USHINDI WAKATI WA KUPOKEA TIMU.

1. Brass band za majeshi yote ziwe uwanjani na vifaa vyao na uniform full mzuka kuwapokea vijana hao.

2. Kikosi cha polisi cha farasi kitangulie wakiwa wamebeba bandera ya Taifa

3. Liwepo gari kubwa la wazi lililopambwa rangi za Taifa liwabebe mashujaa hao

4. Wananchi wakusanyike barabarani na ikiwezekana maduka yafungwe na shughuli zote zisimame kama ilivyokuwa alipokuja PAPA PAUL II

5. Ziwepo mbwembwe na sherehe za kila namna na vyombo vya habari vya nje na ndani virushe live ili h abari ziwafikie raisi wa fifa, caf na musonye popote walipo duniani.

6. Viongozi wa serikali wafike uwanjani wakiwa wamevalia jezi za timu ya taifa ili kuwapokea mashujaa.

7. Maandamano yapite mjini wakiongozwa na kundi kubwa la brass band za majeshi yote huku wakitembea polepole na kupiga nyimbo za kizalendo kama tuna imani na.... oya..oya..
 
Sawa mwalimu kashasha,

Kwani hujui samata hachezi
KOCHA AFANYIE KAZI YAFUATAYO:

1. Aachane kabisa na lile soka tulilocheza ugenini kule cape verde la kupaki basi

2. Ashambulie mwanzo mwisho na amiliki mpira muda wote ili kumyima adui mwanya wa kutuangamiza.

3. Wacheze pasi ndefu za chini chini lakini wakijiloga kucheza mipira ya juu wameumia maana majamaa ni marefu sana na nimesikia kuwa wameapa bora wafie uwanjani mbele ya mashabiki wao kuliko kufungwa.

4. Apunguze kumwamini sana SAMATTA na kumwogopa kwani mara nyingine hata kikosi anapanga yeye na kuwapendelea marafiki zake ambao viwango vyao vimeshaashuka ili kuwarudisha kwenye chati kama akina ULIMWENGU.

5. Wasikate tamaa mbele ya kelele za mashabiki wao amabao watakuwa wengi sana hata kama wakiwa wakwanza kufunga, wapambane na kurudisha bao hilo na kuongeza ushindi.

BAADA YA USHINDI WAKATI WA KUPOKEA TIMU.

1. Brass band za majeshi yote ziwe uwanjani na vifaa vyao na uniform full mzuka kuwapokea vijana hao.

2. Kikosi cha polisi cha farasi kitangulie wakiwa wamebeba bandera ya Taifa

3. Liwepo gari kubwa la wazi lililopambwa rangi za Taifa liwabebe mashujaa hao

4. Wananchi wakusanyike barabarani na ikiwezekana maduka yafungwe na shughuli zote zisimame kama ilivyokuwa alipokuja PAPA PAUL II

5. Ziwepo mbwembwe na sherehe za kila namna na vyombo vya habari vya nje na ndani virushe live ili h abari ziwafikie raisi wa fifa, caf na musonye popote walipo duniani.

6. Viongozi wa serikali wafike uwanjani wakiwa wamevalia jezi za timu ya taifa ili kuwapokea mashujaa.

7. Maandamano yapite mjini wakiongozwa na kundi kubwa la brass band za majeshi yote huku wakitembea polepole na kupiga nyimbo za kizalendo kama tuna imani na.... oya..oya..
 
Kesho wakichemka inatakiwa wakirudi, wafikie Mtwara wakayapakie yale magunia ya korosho kwenye magari ya majeshi.
 
Sawa mwalimu kashasha,

Kwani hujui samata hachezi
Najua ana kadi mbili lakini ulimsikia kocha anasema utamwita tu h ivyo hivyo na uwepo wake ni hamasa? sawa yeye ni captain uwepo wake ni wa muhimu saana ila ugonvi wangu ni pale anapowapigia chapuo mabest zake wapangwe hata kama wameshafulia hilo linaleta madhara kwenye kusaka ushindi
 
Najua ana kadi mbili lakini ulimsikia kocha anasema utamwita tu h ivyo hivyo na uwepo wake ni hamasa? sawa yeye ni captain uwepo wake ni wa muhimu saana ila ugonvi wangu ni pale anapowapigia chapuo mabest zake wapangwe hata kama wameshafulia hilo linaleta madhara kwenye kusaka ushindi
hata hivo hajaenda Lesotho yupo bongo
 
Kwenye utawala wangu hakuna mwenye kibendi atarudi shuleni.
 
Back
Top Bottom